Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
habar wana jf.naombeni mwenye hdd ya 80gb na 300gb aniambie bei ya kila moja bei gani ili ninunue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habar wana jf.naombeni mwenye hdd ya 80gb na 300gb aniambie bei ya kila moja bei gani ili ninunue.
Jamani na mimi naomba kuuliza.Eti EXTERNAL HDD ZA 500GB HAZIKAI MDA MREFU ZINAHARIBIKA?upi ukweli jaman?wengine wanasema ukiitoa dukani inaharibika siku hiyo hiyo.NAOMBA UKWELI WA HII KITU TOKA KWA ITs
siamini kama unawwza pata 80gb is too old sasa hivi wanatengeneza kuanzia 320gb upwards
Zinapatkana bana Rosemarie! hujui pentium3 bgado zipo madukani? au haupo bongo!
Jamani na mimi naomba kuuliza.Eti EXTERNAL HDD ZA 500GB HAZIKAI MDA MREFU ZINAHARIBIKA?upi ukweli jaman?wengine wanasema ukiitoa dukani inaharibika siku hiyo hiyo.NAOMBA UKWELI WA HII KITU TOKA KWA ITs
habar wana jf.naombeni mwenye hdd ya 80gb na 300gb aniambie bei ya kila moja bei gani ili ninunue.
kaka mimi ninayo hard disk ya 80gb unayotaka sijawahi kuitumia kwa sababu kOmputa YANGU ilikuwa ndogo haikuweza kuisukuma,ninaiuza kwa 70000/= mimi nilinunua kwa shs 85000/=,mimi nipo dar,kama unaihitaji then tuwasiliane.