Njoo dm nikuunganishe naeHabari zenu wakuu. Yeyote anaejua daktari wa magonjwa ya kina mama MBEYA na anapopatikana naomba msaada wa maelekezo. Nisaidieni mwenzenu, mwaka wa 3 kwenye ndoa nahangaika tu, sijabahatika kupata mtoto.
Nashauri ungeenda kupima na Mr.Habari zenu wakuu. Yeyote anaejua daktari wa magonjwa ya kina mama MBEYA na anapopatikana naomba msaada wa maelekezo. Nisaidieni mwenzenu, mwaka wa 3 kwenye ndoa nahangaika tu, sijabahatika kupata mtoto.
Nicheki DM. Lakini kwa kifupi infertility ni matokeo ya mayai kutokutengenezwa, kutengenezwa lakini mbegu za mwanaume hazina afya, au mayai kutengenezwa lakini kushindwa kusafiri yakutane na mbegu. Vipimo vya awali vitafocus kwenye hayo maeneo matatu makuu. Nimesaidia wanawake wengi, so kama upo Mbeya nicheck.Habari zenu wakuu.
Yeyote anaejua daktari wa magonjwa ya kina mama MBEYA na anapopatikana naomba msaada wa maelekezo. Nisaidieni mwenzenu, mwaka wa 3 kwenye ndoa nahangaika tu.
Sijabahatika kupata mtoto.
Pole sana...na mzee nae akapime spermHabari zenu wakuu.
Yeyote anaejua daktari wa magonjwa ya kina mama MBEYA na anapopatikana naomba msaada wa maelekezo. Nisaidieni mwenzenu, mwaka wa 3 kwenye ndoa nahangaika tu.
Sijabahatika kupata mtoto.
Huyo anaye kugegeda una uhakika naye...?Habari zenu wakuu.
Yeyote anaejua daktari wa magonjwa ya kina mama MBEYA na anapopatikana naomba msaada wa maelekezo. Nisaidieni mwenzenu, mwaka wa 3 kwenye ndoa nahangaika tu.
Sijabahatika kupata mtoto.