HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,077
Wakuu habari za mchana kwa wenyeji wa banana naomba kuuliza Gym inapatikana maeneo gani kwa hapa banana ili nipunguze kitambi mimi ni mgeni mazingira haya
Nitazingatia mawazo yakoAcha uvivuuu tembea apo adi aupande mlima pugu na kurudiii
uamuapo fanya mazoez ili upungue uhakikishe vyakula viongezavyo mwili unavipunguzaa
Ndio mimi mkuu nilitimuliwa ndio maana kitambi kimeotahivi mkuu hako ka poti una taaarifa zake ? hako umekaweka profile,nini kilikakuta baada ya mh kuondoka Butimba ?
Njoo huku Mkunje Logde vifaa vyote vipoWakuu habari za mchana kwa wenyeji wa banana naomba kuuliza Gym inapatikana maeneo gani kwa hapa banana ili nipunguze kitambi mimi ni mgeni mazingira haya
Inyi uenda mndenyiii mnamaaaa hahaaaaaOngeza jiko uone kama hujakonda ikifika june 2022 nitakupa milioni .... usiulize nitaipata wapi
Iko maeneo gani hii lodgeNjoo huku Mkunje Logde vifaa vyote vipo View attachment 2049922
Mwezi huu nikiongeza jiko najitafutia matatizo maana nitaangushiwa majukumu balaaOngeza jiko uone kama hujakonda ikifika june 2022 nitakupa milioni .... usiulize nitaipata wapi
hujiamini sasaMwezi huu nikiongeza jiko najitafutia matatizo maana nitaangushiwa majukumu balaa