Asante mkuuGuta ni sinoray 250cc q7 tu!, hii chuma ni habari nyingine kabisa, ina nguvu roho ya paka, inavumilia shurba na mikiki mikiki ya kila namna pamoja na kukupa maisha marefu zaidi, ninayo hapa huwa nadundia mpunga mpaka gunia 27.
upo mkoa gani mkuu!?.Ndugu zanguni pole i na mnisanehe dananilipotea humu kitambo kidogo
Kumbe sikujua watu wanaingia kwa vpn siku izi bana
Ila lengo liko palepale nataka GUTA
Ni bora kuizidi wanho?Guta ni sinoray 250cc q7 tu!, hii chuma ni habari nyingine kabisa, ina nguvu roho ya paka, inavumilia shurba na mikiki mikiki ya kila namna pamoja na kukupa maisha marefu zaidi, ninayo hapa huwa nadundia mpunga mpaka gunia 27.
wanho bado mlaini mno kwa show dume za porini likianzaga kudai service hata ulihudumie vipi lazima lisumbue tena baada ya mda mfupi tofauti na sinoray!, uzuri wake yote nimetumia kuanzia wanho, fekon, kevla na sinoray ila kwa yote sinoray nampa maua yake kwakweli!.Ni bora kuizidi wanho?
Wakuu habari zenu
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema
Nina uhitaji wa ile chuma ya kazi iliyotumika kwa sababu bajeti yangu haitoshi kununua mpya.
Natafuta Senoray cc 300 used akiwa kwenye hali nzuri
duh! Tanga ni mbali, mimi nipo na mishe za kilimo cha mpunga bonde la ziwa rukwa, ungekuwa huku karibu ningekufanyia mpango maana huku zipo za kutosha chuma haswaa!.Tanga lakini nikilipata daa itakuwa mzuri zaidi
Mzuti ni mpya ila sisi tunataka used kwa sababu ya budget yetuHv biashara ya guta kumkabidhi mtu akuletee 20000/day vipi inalipa wakuu?
Na je ipi bora,kununua jipya dukani au kuchukua la mkononi likiwa bado bichi?
sisi huku ziwani tunayanunua mapya 6,800,000/= ule mwezi wa 5 kwaajili ya kupakilia mpunga kupeleka mashineni kwa siku kulala na 100,000/= ni kawaida kabisa minimum.Hv biashara ya guta kumkabidhi mtu akuletee 20000/day vipi inalipa wakuu?
Na je ipi bora,kununua jipya dukani au kuchukua la mkononi likiwa bado bichi?