MADARAKA DANIEL
Member
- Oct 26, 2012
- 93
- 22
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, natafuta msichana ambaye atakuja kuwa mke wangu wa future,lakini awe na sifa kama zifuatazo;
- awe ni mcha mungu na mwenye hofu ya mungu
- awe na umri wa miaka kati ya 18-20
- muonekano mzuri wenye mvuto
- awe amemaliza angalau kidato cha nne
- awe na mapenzi ya kweli