Natafuta gari ya kukodisha

Natafuta gari ya kukodisha

MCHINA2000

Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
28
Reaction score
26
Wakuu kwema. Nahitaji gari ya kukodisha kuanzia tarehe 03 hadi 07 June 2019. Gari iwe na uwezo wa kubeba watu sita. Mahali ni Dodoma. Najua baadhi yenu mnazo hizi gari. Njoo inbox tuongee.
 
Offer ngapi mkuu naweza ileta toka Dar kama offer inalipa au.nkukuunganisha na jamaa yangu hapo dom
Wakuu kwema. Nahitaji gari ya kukodisha kuanzia tarehe 03 hadi 07 June 2019. Gari iwe na uwezo wa kubeba watu sita. Mahali ni Dodoma. Najua baadhi yenu mnazo hizi gari. Njoo inbox tuongee.
 
Back
Top Bottom