Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,481
- 2,609
Ndio unapata, kuwa mvumilivu.
Jihadhari na matapeli.
Ukipata hakikisha fundi wako analikagua gari, check na TRA kama halidaiwi hlf usilipie pesa kabla hujaandikishana mkataba, kupewa kadi original na kukabidhiwa funguo
Namie nataka!