stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,226
- 5,150
Kama upo sirias ni PM mkuu,,
Maelewano yapo[emoji1321]
Sifa ni nyingi mkuu!ivi gari impya inasifa gan mkuu, samahan lkn
ninalo la IST sema uko wapi tufanye biasharaWanajamvi.....
Nina dharura kidogo, kwa sasa nahitaji gari kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...., hela niliyonayo ni milionn 6-7. Gari ninalohitaji liwe mojawapo kati ya haya:- IST, GX110, PREMIO au BREVIS, na VEROSA
Gari iwe na namba C au D...., iwe kwenye ubora! Vyuma vimekaza jamani, sina zaidi ya hiyo hela.
Nicheki PM, nipo Dar es salaam
Njaa
Mkuu ushapona tatizo lako la koo?nami naumwa nateseka sana mkuu kama umepona nambie namba yngu hii0788442067Wanajamvi.....
Nina dharura kidogo, kwa sasa nahitaji gari kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...., hela niliyonayo ni milionn 6-7. Gari ninalohitaji liwe mojawapo kati ya haya:- IST, GX110, PREMIO au BREVIS, na VEROSA
Gari iwe na namba C au D...., iwe kwenye ubora! Vyuma vimekaza jamani, sina zaidi ya hiyo hela.
Nicheki PM, nipo Dar es salaam
Njaa