Natafuta gari please...!

Natafuta gari please...!

Njaa

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2009
Posts
1,022
Reaction score
412
Wanajamvi.....

Nina dharura kidogo, kwa sasa nahitaji gari kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...., hela niliyonayo ni milionn 6-7. Gari ninalohitaji liwe mojawapo kati ya haya:- IST, GX110, PREMIO au BREVIS, na VEROSA

Gari iwe na namba C au D...., iwe kwenye ubora! Vyuma vimekaza jamani, sina zaidi ya hiyo hela.

Nicheki PM, nipo Dar es salaam

Njaa
 
Wanajamvi.....

Nina dharura kidogo, kwa sasa nahitaji gari kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...., hela niliyonayo ni milionn 6-7. Gari ninalohitaji liwe mojawapo kati ya haya:- IST, GX110, PREMIO au BREVIS, na VEROSA

Gari iwe na namba C au D...., iwe kwenye ubora! Vyuma vimekaza jamani, sina zaidi ya hiyo hela.

Nicheki PM, nipo Dar es salaam

Njaa
Kama unaomba ushauri tuu chukua brevis
 
Wanajamvi.....

Nina dharura kidogo, kwa sasa nahitaji gari kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...., hela niliyonayo ni milionn 6-7. Gari ninalohitaji liwe mojawapo kati ya haya:- IST, GX110, PREMIO au BREVIS, na VEROSA

Gari iwe na namba C au D...., iwe kwenye ubora! Vyuma vimekaza jamani, sina zaidi ya hiyo hela.

Nicheki PM, nipo Dar es salaam

Njaa
Master of the game
 
Ipo IST hapa blue.
Number D.
Yataka 7.8m.
 
Wanajamvi.....

Nina dharura kidogo, kwa sasa nahitaji gari kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...., hela niliyonayo ni milionn 6-7. Gari ninalohitaji liwe mojawapo kati ya haya:- IST, GX110, PREMIO au BREVIS, na VEROSA

Gari iwe na namba C au D...., iwe kwenye ubora! Vyuma vimekaza jamani, sina zaidi ya hiyo hela.

Nicheki PM, nipo Dar es salaam

Njaa
Mkuu chukua hizo gari zooote ila sio brevis, utaanza kujutia siku ya kwanza tubaada ya kununua
 
Huruma ipi msimezeshane sumu breviz natumia mimi sema kuna watu inawatesa mafuta kwa sababu hawabadilishi oxygen sensor kila km 80,000 ikifika kama ilivyo aindikwa kwenye maintenense manual
Wewe sema ukweli unamiliki sheli
 
Kuna Toyota ist nyeusi
Ni kama mpya kabisa
Number DG
 
Wanajamvi.....

Nina dharura kidogo, kwa sasa nahitaji gari kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...., hela niliyonayo ni milionn 6-7. Gari ninalohitaji liwe mojawapo kati ya haya:- IST, GX110, PREMIO au BREVIS, na VEROSA

Gari iwe na namba C au D...., iwe kwenye ubora! Vyuma vimekaza jamani, sina zaidi ya hiyo hela.

Nicheki PM, nipo Dar es salaam

Njaa
Gx110 hutajutia ..
 
Back
Top Bottom