Njaa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2009
- 1,022
- 412
Wanajamvi.....
Nina dharura kidogo, kwa sasa nahitaji gari kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...., hela niliyonayo ni milionn 6-7. Gari ninalohitaji liwe mojawapo kati ya haya:- IST, GX110, PREMIO au BREVIS, na VEROSA
Gari iwe na namba C au D...., iwe kwenye ubora! Vyuma vimekaza jamani, sina zaidi ya hiyo hela.
Nicheki PM, nipo Dar es salaam
Njaa
Nina dharura kidogo, kwa sasa nahitaji gari kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...., hela niliyonayo ni milionn 6-7. Gari ninalohitaji liwe mojawapo kati ya haya:- IST, GX110, PREMIO au BREVIS, na VEROSA
Gari iwe na namba C au D...., iwe kwenye ubora! Vyuma vimekaza jamani, sina zaidi ya hiyo hela.
Nicheki PM, nipo Dar es salaam
Njaa