Natafuta gari nzuri

Natafuta gari nzuri

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,778
Reaction score
2,052
NATAFUTA GARI — BAJETI MIL. 5.

Habari zenu wakuu,

Natafuta gari nzuri isiyo na matatizo yoyote ya kiufundi wala kisheria. Bajeti yangu ni hadi TSh 5,000,000.00.

Ningependa gari aina zifuatazo (kipaumbele):
  • Toyota Brevis
  • Toyota Altezza
  • Nissan X-Trail

Gari iwe katika hali nzuri ya matumizi, iwe imepitia service vizuri, na iwe na nyaraka zote muhimu.

Kama unayo au unamfahamu mtu mwenye gari inayolingana na maelezo haya, tafadhali niPM.
 
NATAFUTA GARI — BAJETI MIL. 5.

Habari zenu wakuu,

Natafuta gari nzuri isiyo na matatizo yoyote ya kiufundi wala kisheria. Bajeti yangu ni hadi TSh 5,000,000.00.

Ningependa gari aina zifuatazo (kipaumbele):
  • Toyota Brevis
  • Toyota Altezza
  • Nissan X-Trail

Gari iwe katika hali nzuri ya matumizi, iwe imepitia service vizuri, na iwe na nyaraka zote muhimu.

Kama unayo au unamfahamu mtu mwenye gari inayolingana na maelezo haya, tafadhali niPM.
Toyota brebis, altezza na x trail sidhani kwa bei hiyo kama utapata

Ahsante🙏
 
🐓Daaah basi ni kila la kheri kwakeee ajipatie brevis na xtrail ya bei cheee🙌🙌
Hujaelewa wapi? Ananunua gari ambazo lazima zina changamoto zikirekebishwa vizuri anauziwa mwingine akapambane huko! Unafkiri kila mtu barabarani kaagiza gari ya mil25 sio?

We ukitaka gari mpaka za laki 7 zipo! Ni ww tu..😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom