baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,778
- 2,052
NATAFUTA GARI — BAJETI MIL. 5.
Habari zenu wakuu,
Natafuta gari nzuri isiyo na matatizo yoyote ya kiufundi wala kisheria. Bajeti yangu ni hadi TSh 5,000,000.00.
Ningependa gari aina zifuatazo (kipaumbele):
Gari iwe katika hali nzuri ya matumizi, iwe imepitia service vizuri, na iwe na nyaraka zote muhimu.
Kama unayo au unamfahamu mtu mwenye gari inayolingana na maelezo haya, tafadhali niPM.
Habari zenu wakuu,
Natafuta gari nzuri isiyo na matatizo yoyote ya kiufundi wala kisheria. Bajeti yangu ni hadi TSh 5,000,000.00.
Ningependa gari aina zifuatazo (kipaumbele):
- Toyota Brevis
- Toyota Altezza
- Nissan X-Trail
Gari iwe katika hali nzuri ya matumizi, iwe imepitia service vizuri, na iwe na nyaraka zote muhimu.
Kama unayo au unamfahamu mtu mwenye gari inayolingana na maelezo haya, tafadhali niPM.