Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,500
acha tu nisubirie 40 mwingineHamna bana!!! Nyota tumetofautiana! Jaribu bahati yako...
acha tu nisubirie 40 mwingineHamna bana!!! Nyota tumetofautiana! Jaribu bahati yako...
Gari mbovu inavutwa na nzima...🙂🙂🙂acha wivu wewe . mi nimempendea miaka 40 ashachoka na ujana atatulia na mimi tu
ahaaa kwani mi gari bovu jamani?Gari mbovu inavutwa na nzima...🙂🙂🙂
wewe si ndio gari nzima inayovuta bovu.ahaaa kwani mi gari bovu jamani?
tatizo wewe unanidharau sana r. me mtu peace sana usinione hapa.miss you thowewe si ndio gari nzima inayovuta bovu.
Wala...napenda tu kukujibu kama mwenyewe unavyozingua.tatizo wewe unanidharau sana r. me mtu peace sana usinione hapa.miss you tho
ukifika 40 unijibu basi tuanze maisha si unajua life starts at 40!Wala...napenda tu kukujibu kama mwenyewe unavyozingua.
Nimefikisha 40 mwezi uliopita.ukifika 40 unijibu basi tuanze maisha si unajua life starts at 40!
hongera kwa kuzaliwa ! so tunaanza maisha au ushapata wa kuanza naeNimefikisha 40 mwezi uliopita.
Bado mpaka nifike 50.hongera kwa kuzaliwa ! so tunaanza maisha au ushapata wa kuanza nae
aya bna huko sitakusubiri sasa hivi nimeamua maamuzi magumuBado mpaka nifike 50.
Yapi hayo?aya bna huko sitakusubiri sasa hivi nimeamua maamuzi magumu
kuingia kwenye mahusiano rasmiYapi hayo?
All the best miss.kuingia kwenye mahusiano rasmi
Bongo safi sana,,, jf hoyeeeee!!! Stress releaver by far,,,,acha wivu wewe . mi nimempendea miaka 40 ashachoka na ujana atatulia na mimi tu
Hahaaa bro ntarudi nkipata matokeo chanyaIvi mbona mrejesho wa kama umepata mwenza wako ni michache sana, ina maana mafanikio ni madogo sana?
Niko hapa future wife, karibuNina miaka 40 msomi nimerudi hivi aribuni toka masomoni ng'ambo. Natafuta msichana amabaye yupo tayari kwa mahusiano yenye mwelekeo wa ndoa. Sijali rangi au mwonekano ajali internal beuty. Aliye tayari ani PM