K Khamisjaha New Member Joined Jun 18, 2016 Posts 1 Reaction score 0 Jun 23, 2016 #1 Simu yangu aina ya Tecno Boom J7 imeharibika kioo chake, nahitaji kioo kingine, anaejua gharama za kioo aniambie please
Simu yangu aina ya Tecno Boom J7 imeharibika kioo chake, nahitaji kioo kingine, anaejua gharama za kioo aniambie please
Saluu92 Member Joined Aug 9, 2013 Posts 16 Reaction score 8 Jun 24, 2016 #2 kama upo dar nenda Kariakoo Kituo cha polis kuna Jengo linatazamana wapo wachina wa calcare ndo wanabadilisha ila andaa 120,000 Over afande
kama upo dar nenda Kariakoo Kituo cha polis kuna Jengo linatazamana wapo wachina wa calcare ndo wanabadilisha ila andaa 120,000 Over afande