Natafuta Fridge kwa 250000

Natafuta Fridge kwa 250000

LadyAJ

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2015
Posts
7,173
Reaction score
9,656
Yeyote auzaye fridge kwa bei hiyo ani PM atume na ka picha
Fridge (najua itakua used) lakini iwe katika hali nzuri, iwe na uwezo wa kugandisha vizuri kwa sababu naihitaji kwa shughuli hiyo
*Nipo Temeke -Dar
 
Yeyote auzaye fridge kwa bei hiyo ani PM atume na ka picha
Fridge (najua itakua used) lakini iwe katika hali nzuri, iwe na uwezo wa kugandisha vizuri kwa sababu naihitaji kwa shughuli hiyo
*Nipo Temeke -Dar
Ninayo fridge aina ya LG... Nimeitumia miezi nne tu... picha zake ni hizo hapo
1478905745442.jpg
1478905762579.jpg
.... Tuwasiliane kwa Number 0713 590607
 
Nami nahitaji aisee mwenye nayo mwingine tafadhali anijuze
 
Simuende kariakoo kuna mafridge used mengi tu unajichagulia
 
Back
Top Bottom