Natafuta frem ya biashara: Dau 300,000/=

Natafuta frem ya biashara: Dau 300,000/=

Kizamani

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2011
Posts
418
Reaction score
108
Habari wanaJF nawapenda sana.
Tukiwa kama watu tunaosaidiana katika mawazo mengi ya kujengana, mimi mdogo wenu na wengine kaka yenu nina ombi kwenu, natafuta framu ya biashara ambayo nitaweza kupata vijisenti vya kumtunza dada yenu Lara1 kwani karibu nampata.

Sehemu ambayo ningefurahi sana kama ningepata ni Sinza: Mori, kwa Remmy, Palestina, makaburini, mpaka maeneo ya shekilango. Africa sana labda pale karibu na junction. Sehemu ya pili ni maeneo ya mwenge. Iwe sehemu iliyokaa kibiashara an yenye watu wengi wanaopita. Bajeti yangu ni iwe kuanzia 250,000/= mpaka 400,000/= hivi ila hata kama utapta ya juu kama mwenge niko tayari.

Najua wawezajua mtu anayeachia frame au frame mpya, niunganishe ili upate mshiko chapchapu. Hili dau linaweza panda kutokana na framu yenyewe.

Naomba uniPM kama unajua then tuanze mawasiliano.

Jamani, mkinisaidia kupata hii nawambieni Lara1 hachomoi. Niko serious. Hilo dau halina longolongo, i get the framme, you get the cash."You screw my back, i screw yours".
 
kuna flemu pale jengo la Lubada Ubungo plaza sijui kama utapapenda ni pazuri ila sasa uliposema kuwa sehemu ambayo ni mkusanyiko wa watu hapo sasa ndo inakuwa ngumu pale ni pazuri kwa biashara na shughulizako best
 
kwanza lazima tuelewe ni biashara gani unataka kufanya ndipo tujue jinsi ya kukusaidia
 
kuna flemu pale jengo la Lubada Ubungo plaza sijui kama utapapenda ni pazuri ila sasa uliposema kuwa sehemu ambayo ni mkusanyiko wa watu hapo sasa ndo inakuwa ngumu pale ni pazuri kwa biashara na shughulizako best

Rubada ni pale ilipokuwa Open ya zamani? Pale ntapata wateja kweli dada anayefurahia? Au nikuPM unipe hints kidogo
 
nenda kajaribu mm sijui ila kuna mwenzangu yuko pale yeye ana kampuni pale kwa mazingira ya pale siyajui vizuri nenda tu kaulizeulize pale
Rubada ni pale ilipokuwa Open ya zamani? Pale ntapata wateja kweli dada anayefurahia? Au nikuPM unipe hints kidogo
 
kwanza lazima tuelewe ni biashara gani unataka kufanya ndipo tujue jinsi ya kukusaidia

Zion, ni sehemu ambayo mtu anaweza fungua stationary, au butique au duka la vipodozi au mambo ya M-pesa au nguo za watoto au bucha la kisasa au duka la jumla. Full mangism.
 
Kuna moja iko tandale kwa mtogole na nyingine manzese kwa mfuga mbwa bei nzuri tu , je nayo twaweza zungumza?
 
Mkuu Kizamani mpe kazi jamaa yetu Barelawyer anajituma sana, anaweza kukusaidia kupata hiyo frame fasta Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Habari wanaJF nawapenda sana.
Tukiwa kama watu tunaosaidiana katika mawazo mengi ya kujengana, mimi mdogo wenu na wengine kaka yenu nina ombi kwenu, natafuta framu ya biashara ambayo nitaweza kupata vijisenti vya kumtunza dada yenu Lara1 kwani karibu nampata.

Sehemu ambayo ningefurahi sana kama ningepata ni Sinza: Mori, kwa Remmy, Palestina, makaburini, mpaka maeneo ya shekilango. Africa sana labda pale karibu na junction. Sehemu ya pili ni maeneo ya mwenge. Iwe sehemu iliyokaa kibiashara an yenye watu wengi wanaopita. Bajeti yangu ni iwe kuanzia 250,000/= mpaka 400,000/= hivi ila hata kama utapta ya juu kama mwenge niko tayari.

Najua wawezajua mtu anayeachia frame au frame mpya, niunganishe ili upate mshiko chapchapu. Hili dau linaweza panda kutokana na framu yenyewe.

Naomba uniPM kama unajua then tuanze mawasiliano.

Jamani, mkinisaidia kupata hii nawambieni Lara1 hachomoi. Niko serious. Hilo dau halina longolongo, i get the framme, you get the cash."You screw my back, i screw yours".

Piga 0653695424. ipo MWENGE, niliona tangazo wiki mbili zilizo pita, sijui kama itakuwa bado haijachukuliwa
 
kuna flemu pale jengo la Lubada Ubungo plaza sijui kama utapapenda ni pazuri ila sasa uliposema kuwa sehemu ambayo ni mkusanyiko wa watu hapo sasa ndo inakuwa ngumu pale ni pazuri kwa biashara na shughulizako best

Sorry unaweza kuwa una details kuhusu hizo fremu? i mean zinapangishwa kwa bei gani kwa mwezi na wanachukua miezi mingapi? Zipo ndani ya jengo la Lubada au karibu na jengo la Lubada?
 
mi nina frem mwananyamala sokoni kamaunataka nipm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom