Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,859
- 763
wadau
natafuta sehemu yenye ukubwa wa wastani ili niweze kuweka biashara yangu ya showroom ya fenicha za kisasa zinazotengenezwa na mbao ngumu za nchini na nchi jirani..kwa sasa sehemu niliyopo imeshakuwa ndogo..ikiwezekana na karakana nitaweka hapohapo;maeneo preferable ni msasani,namanga,knyama,kinondoni na mwenge ....offer yangu ya bei ni kati ya laki 400 na 600 kwa mwezi....sehemu nyingine zaweza kufikiriwa vilevile
kama vipi ni pm au call me at 0788 502757
mdau wa happyhomes enterprises
natafuta sehemu yenye ukubwa wa wastani ili niweze kuweka biashara yangu ya showroom ya fenicha za kisasa zinazotengenezwa na mbao ngumu za nchini na nchi jirani..kwa sasa sehemu niliyopo imeshakuwa ndogo..ikiwezekana na karakana nitaweka hapohapo;maeneo preferable ni msasani,namanga,knyama,kinondoni na mwenge ....offer yangu ya bei ni kati ya laki 400 na 600 kwa mwezi....sehemu nyingine zaweza kufikiriwa vilevile
kama vipi ni pm au call me at 0788 502757
mdau wa happyhomes enterprises