4rever young
Senior Member
- Jul 26, 2019
- 136
- 125
Habari ndugu!!!
Mm ni kijana nilieamua kuingia katika ujasiriamali na kwasasa natafuta sehemu ambapo nitaweza kufungua car wash yangu au open space nzur tu kwa ajili ya kujenga biashara hio,, SEHEMU NILIYOITAKA NI ARUSHA,,
kikubwa liwe eneo ambalo lipo pembezon mwa barabara
Mm ni kijana nilieamua kuingia katika ujasiriamali na kwasasa natafuta sehemu ambapo nitaweza kufungua car wash yangu au open space nzur tu kwa ajili ya kujenga biashara hio,, SEHEMU NILIYOITAKA NI ARUSHA,,
kikubwa liwe eneo ambalo lipo pembezon mwa barabara