Nina mgonjwa ambaye amepata OK ya kwenda India kubadili figo kakini hajampata mtu wa kumsaidia. Damu yake B. Wakuu naomba msaada wenu.
Duh hakuna siku niliyopata kucheka kama siku ya leo ina maana hapo nyumbani Polisi wanawapiga watu kama vile Mtu anavyompiga Punda wake? Na wewe unategemea ipo siku utakula kichapo kwa hao Polisi mkuu JimjulsDuh! ningekupa ya kwangu moja lakini kwa jinsi polisi wanavyopiga raia ovyo ovyo siku hizi na sehemu yoyote ya mwili.Wanaweza nishushia kipondo maeneo ya tumboni na hata ile moja ikafeli ikawa noma tena kwangu.
Bibie upo wapi wewe katika hii dunia?Bibie kisukari Figo imekuwa ni biashara kubwa kwa nchi zahee kumbe mafigo yanauzwa?ki ukweli nilikuwa sijui.mimi nilijua unaweza kumsaidia tu mtu.
Wee acha tu siku hizi hawa jamaa wakikuta tu ni kichapo na ukitegemea huwa tunakwenda kwenye mikutano ya CDM huku na kule.Duh hakuna siku niliyopata kucheka kama siku ya leo ina maana hapo nyumbani Polisi wanawapiga watu kama vile Mtu anavyompiga Punda wake? Na wewe unategemea ipo siku utakula kichapo kwa hao Polisi mkuu Jimjuls
Uhuru wa fikra na mitazamo ni njia nzuri ya kuhabarisha na elimu pia. Nimekusoma mkuu. Mgonjwa wangu amefanyiwa kila jitihada za tiba. Sisi siyo mtajiri bali wengi wetu ni wafanyakazi na jitihada zetu na uwezo wa Mungu, mgonjwa bado tunae. Hivi niandikapo hi thread, sponser ambaye alikuwa tegemeo letu ametangulia mbele ya haki. Mgonjwa wangu ni mtu maarufu katika eneo analoishi. Hiyo dhana kwamba anaishi kwenye kisiwa haipo. Wamejitokeza jamaa kama watatu lakini wote wakawa na individual problems. Lengo la kuja JF ni kupata msaada na kwa kweli wako nimeupokea kwa unyenyekevu. Bado nahitaji msaada wenu na kwa hakika nitajikuna mkono wangu utakapofika.Pole sana kwa matatizo mkuu, ila kwa nini mnasumbuka kupata figo badala ya kusumbuka kupata pesa za matibabu na nauli? nyie mtakuwa ni matajiri ambao hamuishi vizuri na watu kwa kuzani kuwa pesa ndio kila kitu ndio maana hamna ndugu wala rafiki au jirani wa karibu aliyejitokeza kukusaidieni. kumbuka "Watu na utu wao na fedha na fedheha zake". Kama ninachokidhani sicho achana na ushauri wangu na kama hivyo ndivyo basi tangu leo anzeni mazoea ya kushirikiana na watu bila kujali kipato wala elimu. Ni mtazamo tu
Uhuru wa fikra na mitazamo ni njia nzuri ya kuhabarisha na elimu pia. Nimekusoma mkuu. Mgonjwa wangu amefanyiwa kila jitihada za tiba. Sisi siyo mtajiri bali wengi wetu ni wafanyakazi na jitihada zetu na uwezo wa Mungu, mgonjwa bado tunae. Hivi niandikapo hi thread, sponser ambaye alikuwa tegemeo letu ametangulia mbele ya haki. Mgonjwa wangu ni mtu maarufu katika eneo analoishi. Hiyo dhana kwamba anaishi kwenye kisiwa haipo. Wamejitokeza jamaa kama watatu lakini wote wakawa na individual problems. Lengo la kuja JF ni kupata msaada na kwa kweli wako nimeupokea kwa unyenyekevu. Bado nahitaji msaada wenu na kwa hakika nitajikuna mkono wangu utakapofika.
Du! pamoja na kwamba niliandika kwa nia njema ya kujenga lakini wewe umenijenga zaidi kwa namna ulivyonijibu. Mpaka nimeona huruma zaidi ya hapo awali. Sikufikiria hadi nyuma ya pazia. Hata hivyo nakuombea upate msaada huo haraka iwezekanavyo. Binafsi sina uwezo huo.
Jamani wana Jamvi yeyeto mwenye namna ya kusaidia hili tafadhali, tafadhalini msaidieni
Nina mgonjwa ambaye amepata OK ya kwenda India kubadili figo kakini hajampata mtu wa kumsaidia. Damu yake B. Wakuu naomba msaada wenu.
Me Niko tayari[/QUOTQUOTNipigie +255765129582