Varbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,117
- 856
Wana JF napenda kuomba msaada wenu kwa shule nzuri ya primary kwa mtoto wa std 2 (2013)
Ambayo inautaratibu mzuri na watoto wanasoma na kuishi bila bugudha!!Shule iwepo nje kidogo ya jiji yaani Dar
isiwe yenye ada ya juu sana walau 1500000/= per year!! Shule anayosoma sasa kila aada ya miezi mitatu mtoto anarudi nyumbani likizo ya mwezi mmoja sasa huo utaratibu siupendi!!
Naomba msaada wenu
Ambayo inautaratibu mzuri na watoto wanasoma na kuishi bila bugudha!!Shule iwepo nje kidogo ya jiji yaani Dar
isiwe yenye ada ya juu sana walau 1500000/= per year!! Shule anayosoma sasa kila aada ya miezi mitatu mtoto anarudi nyumbani likizo ya mwezi mmoja sasa huo utaratibu siupendi!!
Naomba msaada wenu