Punguza wivu mkuu, hutopata mtu madereva wengi vijana, unaogopa kuibiwa shemeji nini? hahaha ni utani tu.
Nongezea bora mwanaume kuliko mwanamke maana kuna kukoboana siku hizi..
Natania tu
Natafuta driver wa gari, Mwanamke au Mzee. Awe anakaa maeneo ya mbezi, Goba, salasala. Atakuwa anaendesha gari ya watoto wadogo. PM please.
Nongezea bora mwanaume kuliko mwanamke maana kuna kukoboana siku hizi..
Natania tu
Gari ni auto au manual?,aina gan?,body type?,ya mwaka gan?,imtka nchi gan?,imetembea km ngp?,imewai kufunguliwa engine?.
Natafuta driver wa gari, Mwanamke au Mzee. Awe anakaa maeneo ya mbezi, Goba, salasala. Atakuwa anaendesha gari ya watoto wadogo. PM please.