kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,298
- 7,646
Haitibiki lakini wewe pita kimya tu,si unamuona anahangaika?we ungemuambia tu haina tiba,asubirie kufa ndio nini?Kansa inatibika kwani?
Haitibiki lakini wewe pita kimya tu,si unamuona anahangaika?we ungemuambia tu haina tiba,asubirie kufa ndio nini?Kansa inatibika kwani?
We mshenzi una majibu ya kukatisha tamaa sana kama hujui ungenyamaza tuSubiri kufa tu cancer haitibiki
Kilimanjaro sehemu gsniNjoo Mwanga Kilimanjaro kuna mzee fulani ni maarufu sana kwa kutibu cancer kwa dawa za kienyeji
Wilaya ya mwanga mkoa kilimanjaroKilimanjaro sehemu gsni
Jinga sana weweSubiri kufa tu cancer haitibiki
Asante sana mkuu, acha asubiri.
Hawa ndio wananchi wa Mwanza.... wanaamini Sizonje ndio Mungu wao.Aisee mkuu sio sawa hii kumbuka unaweza kufa wewe huyo mgonjwa akabaki kuugua si kufa
Nyie watu wa Mwanza kiburi cha Magu kitawaponza. Shauri zenu...Subiri kufa tu cancer haitibiki
Hawa ndio wananchi wa Mwanza.... wanaamini Sizonje ndio Mungu wao.
Atumie B17 ina capsule total 180, atumie pamoja na enzymes, na vitamins, 1 capsule kwa siku.Salaam wana Jf, kama nlivoeleza hapo juu yoyote anaejua dawa ya cancer anichek maana mama angu mzazi anasumbuliwa na cancer ya titi na ametumia dawa nyingi za hospital lakini sioni dalili ya yeye kupona so naombeni msaada kwa wenye dawa au kwa yoyote anae mjua mtu ambaye anaweza kuwa na dawa zinazoweza kutibu hilo tatzo.
Mkuu ngoja nikutafutie namba za Mzee mmoja wa Mwanga Kilimanjaro. Ana dawa za asili zinasaidia zitampa mgonjwa unafuu. Mama yangu zimemsaidia hizo dawa za asili.Salaam wana Jf, kama nlivoeleza hapo juu yoyote anaejua dawa ya cancer anichek maana mama angu mzazi anasumbuliwa na cancer ya titi na ametumia dawa nyingi za hospital lakini sioni dalili ya yeye kupona so naombeni msaada kwa wenye dawa au kwa yoyote anae mjua mtu ambaye anaweza kuwa na dawa zinazoweza kutibu hilo tatzo.
wasukuma bhanaNyie watu wa Mwanza kiburi cha Magu kitawaponza. Shauri zenu...
Mkuu Fanya umtafute bwana Deception humu atakusaidia kukupa maelekezo mazuri sana mimi nmejifunza vingi kwakeSalaam wana Jf, kama nlivoeleza hapo juu yoyote anaejua dawa ya cancer anichek maana mama angu mzazi anasumbuliwa na cancer ya titi na ametumia dawa nyingi za hospital lakini sioni dalili ya yeye kupona so naombeni msaada kwa wenye dawa au kwa yoyote anae mjua mtu ambaye anaweza kuwa na dawa zinazoweza kutibu hilo tatzo.
Kwani wewe utaishi milele acha kumkatisha tamaa na ujue ni mama yake ambaye anaumwa na mama ndo kila kitu and for your information cancer can be cured depends on how it reaches thru its stagesSubiri kufa tu cancer haitibiki
Mkuu jaribu kuingia google then tafuta blackseeds oil na maelezo yake kisha angalia kama inaweza kusaidia kumponya Mama.Salaam wana Jf, kama nlivoeleza hapo juu yoyote anaejua dawa ya cancer anichek maana mama angu mzazi anasumbuliwa na cancer ya titi na ametumia dawa nyingi za hospital lakini sioni dalili ya yeye kupona so naombeni msaada kwa wenye dawa au kwa yoyote anae mjua mtu ambaye anaweza kuwa na dawa zinazoweza kutibu hilo tatzo.