Mara paaap, utasikia mdada anakuuliza umezidiwa(huku anacheki movie kwenye kioo), mwanaume naye anajibu ndio halafu anaambia ngoja nikusaidie.
Hapo mimi sipo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sikilizia bill yake sasa, ni mzingaaaaaa