Natafuta dada/mama wa kuzaa naye

Natafuta dada/mama wa kuzaa naye

CHANGA

Member
Joined
May 26, 2008
Posts
99
Reaction score
27
Umri wangu ni kati ya miaka 35 na 45 pato langu kwa mwaka ni kati ya tsh 30m na 60m natamani kupata dada/mama ambaye hataona shida kupata nae mtoto moja tu.

Nataka atakeyependelelea awe na kazi yake ya kujiingizia kipato.

For a serious bidder please ni PM
 
Umeambiwa humu ndo wanapatikana hao watu??
 
Acha uchoyo hizo milioni 60 zote utazifanyia nini?Acha mtu akuzalie ale hizo hela zako
 
mil 60 kwa mwaka kelele nyingi hadi jf... we ungepata hata kabilioni tungekukoma bongo hii
 
jamaa kaja na mkwara wa kutosha eti 60 mil kama nawaona masista du wanavyotoa macho...

BTW Mkuu watakuja wengi tu usiogope mpaka utaanzisha uzi mwingine hapa huhitaji tena
 
umri huo huna familia wala mtt? huyo mtoto atakuita baba au babu?mxeeeeeuuu!!
 
Huo ni unyanysaji kama siyo utumwa mamboLEO !! wanawake msikubali kutumiwa na Mzazi haramu..!
 
change badilisha mfumo wa maombi, Ni bora uoe ofisho na ulee huyo mwana na mama yake na umkuze mwanao!
 
Last edited by a moderator:
Mali za harakaharaka hizi,mtakufa siku sii zenu.Kafara umewamaliza ndg zako woote?au umeambiwa upeleke wa Damu yako.miaka 40 kasoro mwanaume huna hata wa kusingziwa? Maajab.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom