Habari Wakuu!
naomba kujuzwa kama hapa kwetu TANZANIA kuna Chuo Kikuu ambacho kinatoa shahada ya Sound engineering, na kama hakuna hata chenye mpango wa kutoa shahada tajwa, ahsanteni na mnakaribishwa kwa mawazo.
Habari Wakuu!
naomba kujuzwa kama hapa kwetu TANZANIA kuna Chuo Kikuu ambacho kinatoa shahada ya Sound engineering, na kama hakuna hata chenye mpango wa kutoa shahada tajwa, ahsanteni na mnakaribishwa kwa mawazo.