Natafuta chuo cha kusoma

wanjizi

Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
14
Reaction score
0
Nina d mbili za chem na biology pia na d nyingine mbili nina four ya point 30.
Naombeni mlio jilan na vyuo
 
Afya.kilimo.mifugo au chochote cheye sifa hizo
 
Kwanza ww sio mkweli ume sema una d mbili za Chem & bio lakini ukasema tena una d mbili ambayo masomo huja yataja halafu ukasema una four 30 hivi kweli una tuona ss ni vilaza hizo d nne ndio sawa na four ya 30? Kuni dalasani bwana mdogo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…