W wanjizi Member Joined Jun 30, 2016 Posts 14 Reaction score 0 Jul 3, 2016 #1 Nina d mbili za chem na biology pia na d nyingine mbili nina four ya point 30. Naombeni mlio jilan na vyuo
Nina d mbili za chem na biology pia na d nyingine mbili nina four ya point 30. Naombeni mlio jilan na vyuo
Th los proffcnal JF-Expert Member Joined Feb 8, 2015 Posts 583 Reaction score 348 Jul 3, 2016 #2 Unataka kusomea nini?
W wanjizi Member Joined Jun 30, 2016 Posts 14 Reaction score 0 Jul 3, 2016 Thread starter #3 Afya.kilimo.mifugo au chochote cheye sifa hizo
S Sendoro Mbazi JF-Expert Member Joined Jan 18, 2013 Posts 3,557 Reaction score 2,336 Jul 3, 2016 #4 nenda certificate in forestry, olmotonyi, arusha
Wawilaya Member Joined Dec 4, 2013 Posts 85 Reaction score 56 Jul 3, 2016 #5 Kwanza ww sio mkweli ume sema una d mbili za Chem & bio lakini ukasema tena una d mbili ambayo masomo huja yataja halafu ukasema una four 30 hivi kweli una tuona ss ni vilaza hizo d nne ndio sawa na four ya 30? Kuni dalasani bwana mdogo
Kwanza ww sio mkweli ume sema una d mbili za Chem & bio lakini ukasema tena una d mbili ambayo masomo huja yataja halafu ukasema una four 30 hivi kweli una tuona ss ni vilaza hizo d nne ndio sawa na four ya 30? Kuni dalasani bwana mdogo