Heri lee
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 981
- 538
Habari wakuu, natafuta chumba kimoja cha kupanga kwa dar, kiwe na umeme, choo na bafu kwa nje kwa ajili ya wapangaji.Mwenye chumba aweke bei hapa.Aweke bei kwa mwezi itakua bei gani. Nipo serious kinahitajika haraka.Mwenye nacho aweke bei na aseme kipo dar sehemu gani.