Natafuta chumba cha kupanga, Dar es Salaam

Natafuta chumba cha kupanga, Dar es Salaam

Heri lee

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
981
Reaction score
538
Habari wakuu, natafuta chumba kimoja cha kupanga kwa dar, kiwe na umeme, choo na bafu kwa nje kwa ajili ya wapangaji.Mwenye chumba aweke bei hapa.Aweke bei kwa mwezi itakua bei gani. Nipo serious kinahitajika haraka.Mwenye nacho aweke bei na aseme kipo dar sehemu gani.
 
mwenye nacho, ani pm kinahitajika mapema
 
Habari wakuu, natafuta
chumba kimoja cha kupanga kwa dar, kiwe na umeme, choo na bafu kwa nje
kwa ajili ya wapangaji.Mwenye chumba aweke bei hapa.Aweke bei kwa mwezi
itakua bei gani. Nipo serious kinahitajika haraka.Mwenye nacho aweke bei
na aseme kipo dar sehemu gani.

Kipo Kigamboni 40,000 kwa mwezi unalipia miezi sita.
 
wadau bado sijapata chumba mwenye nacho ani-pm
 
wadau mbona kimya vyumba vinahitajika bado.
 
wadau mbona kimya vyumba vinahitajika bado.

Njoo pm .. kipo mitaa ya ubungo hostel .. around hapo ! Chumba na sebule , ulinzi, maji full .. @80,000 kwa mwezi .. kuna mdogo wangu anahama anaacha miezi 6 . pm nikuunge muelewane
 
vip wadau mbona vyumba vinakua adimu sana
 
Nitumie kodi chumba kipo
teh teh teh, kama upo serious sema chumba kipo vip, kipo eneo gani, tuje kukiona, nikiridhika 2andikishane mkataba nikulipe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom