Natafuta chenga za mchele za bei nafuu

Natafuta chenga za mchele za bei nafuu

ragin

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,391
Reaction score
9,385
Wakuu natafuta chenga za mchele kwa bei nafuu kilo sh500 na kwa debe ni sh 10000 na gunia lenye debe 6 ndani kwa sh 60000, uwe Gairo au Moro itapendeza, hii ni kurahisisha usafiri.
 
Wakuu natafuta chenga za mchele kwa bei nafuu kilo sh500 na kwa debe ni sh 10000 na gunia lenye debe 6 ndani kwa sh 60000, uwe Gairo au Moro itapendeza, hii ni kurahisisha usafiri.
Kwa bei hiyo hata uende mashineni, huko kwenye michele ya kumwaga huwezi kupata kwa bei hiyo kamwe, kwa soko la sasa, labda una hitaji ile poda!!
 
me na chenga za kutosha ila hio offer yako utakesha utaamka utalala utaamka hupati kwa mtu yoyote.. chenga saiv kg 1400 super dar...
 
Changamoto Ni Location
Nilikuwa Kwimba November 2021 Walikuwa Wanauza Tshs 500/= Kilogram
Baada Ya Kufanya Up Grade
 
Back
Top Bottom