Natafuta Canon Copier IR 2018

Natafuta Canon Copier IR 2018

Spear_

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
1,734
Reaction score
1,009
Wadau natumai mpo fit, nataka kumfungua kaofisi kadogo shida yangu ni Photocopy ya Canon IR 2018, kuna mdau anaweza nielekeza mahali nitapata kwa bei nzuri? naomba bei ya mpya na used, asanteni
 
Wadau natumai mpo fit, nataka kumfungua kaofisi kadogo shida yangu ni Photocopy ya Canon IR 2018, kuna mdau anaweza nielekeza mahali nitapata kwa bei nzuri? naomba bei ya mpya na used, asanteni
Pls Visit Senga Company along Jamhuri street/Chaga street chini ya holiday Inn hapo wanauza debranded canons from uk etc
 
Pls Visit Senga Company along Jamhuri street/Chaga street chini ya holiday Inn hapo wanauza debranded canons from uk etc

mkuu nipo Arusha, bei huwezijua?
 
Wadau natumai mpo fit, nataka kumfungua kaofisi kadogo shida yangu ni Photocopy ya Canon IR 2018, kuna mdau anaweza nielekeza mahali nitapata kwa bei nzuri? naomba bei ya mpya na used, asanteni

Me ninavyojua 2018 zimekuwa adimu kidogo,nyingi kwa sasa ni IR 2318 na bei zake wengine wanauza 2 mill,wengine 1.5 ni wewe tu na speed yako ya kuzunguka.
 
Me ninavyojua 2018 zimekuwa adimu kidogo,nyingi kwa sasa ni IR 2318 na bei zake wengine wanauza 2 mill,wengine 1.5 ni wewe tu na speed yako ya kuzunguka.

Mkuu nashukuru sana ila hizi IR 2318 sio nzuri kama IR 2018 au IR 2016J ni machine nzuri, ni duka gani mkuu linauza hiyo IR 2318 kwa 1.5....please help
 
mikocheni karibu na njia panda ya kwenda mwenge kushoto kwako kuna jamaa anauza used photocopiers. sina contactz zake ila ukiweza fanya maarifa upacheki. anauza nadhani 1.5M used ex - UK
 
Nenda Kwa Benson, Arusha Card au JR nafikiri unaweza kupata japo bei yake itakuwa inaanzia mil 2
 
Wadau natumai mpo fit, nataka kumfungua kaofisi kadogo shida yangu ni Photocopy ya Canon IR 2018, kuna mdau anaweza nielekeza mahali nitapata kwa bei nzuri? naomba bei ya mpya na used, asanteni

Mkuu kama huna haraka sana kuna mzigo utatua Dar mwezi wa tisa hivi na hizo mashine utapata kwa around 2 milioni.
 
Back
Top Bottom