Changamoto2015
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 773
- 314
Nahitaji watu wa aina mbili; wale wenye uzoefu kwa ajili ya ajira na wale wenye nia ya kuingia kama investors. Wenye nia ya kuingia kama investors nahitaji kama watu watano tu.
Kama una uzoefu na nia thabiti ya kuunganisha nguvu kwenye utoaji wa mikopo midogo midogo ( microlending) kwa vikundi na unaishi Dar es Salaam tafadhali ni pm ili tuweze kupanga mikakati kwa pamoja.
Kama una uzoefu na nia thabiti ya kuunganisha nguvu kwenye utoaji wa mikopo midogo midogo ( microlending) kwa vikundi na unaishi Dar es Salaam tafadhali ni pm ili tuweze kupanga mikakati kwa pamoja.