nina uhakika optimization ya app haichukui muda kama ya tovuti, na ni njia rahisi mbadala. Kama una ujuzi, unaweza ku-save sana. Mfano, mtu anayelipia adsense au anawalipa influencers wa social media hela nyingi itamtoka. Ila soko la bongo, kwenye optimization halijawa saturated. Kwahiyo, inaweza isiwe shida kama unatafuta soko la ndani au Afrika. Ila kama ni worldwide, lazima uweke nguvu za ziada za kusogeza apps zako kwenye rankings.