judey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 454
- 541
Husika na kichwa Cha habar hapo juu , natafuta mtu wa kufanya nae KAZI ya usafi majumbani, maofisi (awe kama mmoja wa mliki)Nina kampuni ndogo ya usafi ambayo nimesajili brela na inafanya kazi
Vigezo vinavyohitajika
1 awe kijana wa kiume au wakike
2 mchapakazi na Mwenye maono positive
3 awe tayari kuchangia kiasi Cha pesa kama partner
Kwa ambaye kijana Mwenye Nia ya dhatii karibu tufanye kazii Niko dar es salaam , temeke uhasibu
Mimi ni mwanachuo was chuo Cha uhasibu nasoma marketing
Mawasiliano 0626456047
Never give up!!!!!!!!!!
Vigezo vinavyohitajika
1 awe kijana wa kiume au wakike
2 mchapakazi na Mwenye maono positive
3 awe tayari kuchangia kiasi Cha pesa kama partner
Kwa ambaye kijana Mwenye Nia ya dhatii karibu tufanye kazii Niko dar es salaam , temeke uhasibu
Mimi ni mwanachuo was chuo Cha uhasibu nasoma marketing
Mawasiliano 0626456047
Never give up!!!!!!!!!!