Natafuta Boxer used, nina 1,500

Natafuta Boxer used, nina 1,500

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,521
Reaction score
46,606
Mwenye hiyo pikipiki used (Isizidi mwaka) aniambie kama naweza kuinunua kwa 1.5M. Nahitaji sana kwa sasa..
 
Mwenye hiyo pikipiki used (Isizidi mwaka) aniambie kama naweza kuinunua kwa 1.5M. Nahitaji sana kwa sasa..
Badilisha heading isomeke pikipiki boxer na kiwango cha bei ongezea masifuri badala ya 1500. Bila hivo ni upuuzi na watu watapuuzia na kukupuuza mleta mada.
 
Badilisha heading isomeke pikipiki boxer na kiwango cha bei ongezea masifuri badala ya 1500. Bila hivo ni upuuzi na watu watapuuzia na kukupuuza mleta mada.
Kwa hiyo unayo au huna sasa..?!
 
Nenda mtumbani sagula sagula
Utapata boxer10 kwa bei ya 1500
 
nikajua boxer yaani under pants afu used tena ya buku jero doh!
 
Kwa hiyo unayo au huna sasa..?!
Ya 1500 kanunue karume, ilala boma au tandika ila nilisikia wamepiga marufuku kuuza nguo za ndani za mitumba sijui labda watumiaji wakusaidie kama bado zipo ama wakuuzie wanazotumia.
 
nikajua unataka boxer used kweli...nishaanza kufua yangu apa ili nikuPM....
 
Nilivyoona bei kwenye heading ni 1,500 na mimi nikajua anaulizia pichu!!
Inaonekana mdau hayupo serious.
Mi natafuta Boxer jamani.., ile BM 150 ya kihindi.., mbona mankuwa wagumu sana kuelewa..?!
 
Mwanangu boxer iliyotumika? unataka kwenda kurogea nn kivazi cha watu?


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mi natafuta Boxer jamani.., ile BM 150 ya kihindi.., mbona mankuwa wagumu sana kuelewa..?!
Tatizo ni namna ulivyoiweka heading yako, imeonekana kama unatafuta mavyupi yaliyovaliwa na jamaa huko majuu na baadaye ndiyo yakaletwa huku kwetu,yakiwa mbende mbende kiasi yakiwa hayafai kabisa kwa matumizi ya binadamu!
 
Mwenye hiyo pikipiki used (Isizidi mwaka) aniambie kama naweza kuinunua kwa 1.5M. Nahitaji sana kwa sasa..

Ipo boxa bm100 imefunguliwa December 2013 kipindi kile cha voda timka na bodaboda ni PM if uko intrestd
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom