CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Habari zenu wadau?
Naomba kujua, hapa Tanzania ni wapi kuna project ya kuzalisha black sodier fly larva kwa ajili ya chakula cha kuku au samaki? Au hao flies wanapatikana humu Tanzania, wakoje?
Please. Malila na wengine okoeni jahazi!
Naomba kujua, hapa Tanzania ni wapi kuna project ya kuzalisha black sodier fly larva kwa ajili ya chakula cha kuku au samaki? Au hao flies wanapatikana humu Tanzania, wakoje?
Please. Malila na wengine okoeni jahazi!