Natafuta basi la Ku unga unga

Natafuta basi la Ku unga unga

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,901
Reaction score
14,611
rejea kichwa
linahitajika body
chasis
engine
viti kwa ajili ya ku unga unga
lipatikane basi la kupita njia mbovu
shukurani
ushauri unakaribishwa.
 
nyie ndo mnatumalizia ndugu zetu na mabasi mabovu??
 
Nenda ubungo kituo kikuu cha mabasi ukifika nenda pale kwenye banda wanapopumzika abilia zunguka nyuma ya hilo jengo tembea upande wako wa kushoto kwa mbele utaona unachotaka, waulize utakao wakuta na nunua hitaji lako.
 
nenda ubungo kituo kikuu cha mabasi ukifika nenda pale kwenye banda wanapopumzika abilia zunguka nyuma ya hilo jengo tembea upande wako wa kushoto kwa mbele utaona unachotaka, waulize utakao wakuta na nunua hitaji lako.
pale namuogopa kiwembe
tulishadhulumiana
enzi tunakunywa nyagi
na marehebu ben(r.i.p) wa dar xpres
 
Back
Top Bottom