MAMMAMIA JF-Expert Member Feb 26, 2008 3,811 1,604 Nov 12, 2011 #1 Wapi ninaweza kupata Apple Ipad2 Tanzania? Tafadhali anayejua au anayo, naomba anijulishe pamoja na bei.
Wapi ninaweza kupata Apple Ipad2 Tanzania? Tafadhali anayejua au anayo, naomba anijulishe pamoja na bei.
Msarendo JF-Expert Member Jan 29, 2011 10,477 6,428 Nov 12, 2011 #3 Nenda maduka ya posta Posta, city Center.. Hapo ni mpango mzima
MAMMAMIA JF-Expert Member Feb 26, 2008 3,811 1,604 Nov 12, 2011 Thread starter #4 Asanteni sana kwa ushauri wenu. Thanx!
zomba JF-Expert Member Nov 27, 2007 17,240 3,910 Nov 12, 2011 #5 Ipad 64GB,3G, Wifi, slightly used ipo moja, US$1,000 ina kila kitu chake. Black color (ni best kwa wala maandazi na vitumbua wa bongo). Kumbuka hizi ndio latest na high specs, hakuna bora ya hiyo.
Ipad 64GB,3G, Wifi, slightly used ipo moja, US$1,000 ina kila kitu chake. Black color (ni best kwa wala maandazi na vitumbua wa bongo). Kumbuka hizi ndio latest na high specs, hakuna bora ya hiyo.