Natafuta Apple Ipad2

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,604
Wapi ninaweza kupata Apple Ipad2 Tanzania?
Tafadhali anayejua au anayo, naomba anijulishe pamoja na bei.
 
Ipad 64GB,3G, Wifi, slightly used ipo moja, US$1,000 ina kila kitu chake. Black color (ni best kwa wala maandazi na vitumbua wa bongo).

Kumbuka hizi ndio latest na high specs, hakuna bora ya hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom