Collins george
Member
- Nov 19, 2020
- 5
- 27
Habari wana member wa Jamii forum..kwa majina naitwa Collins George kutokea dar-es-salaam nimemaliza chuo mwez huu wa 7 nikisomea Bachelor in Information Technology (BIT).
Sijawa muhitim complete kwa kua nasubili matokeo yangu ya mwisho ili nipokee chety...kwa kipindi ichi nnachosubil kupokea chety naomba msaada wenu kaka, dada, baba, mama zangu naomba kupata nafasi yoyote ya kazi ili niweze kujikim na kuendesha maisha yangu kwa yeyoteatakae weza kunisaidia kwa namna yoyote basi nitashukuru.
Sijawa muhitim complete kwa kua nasubili matokeo yangu ya mwisho ili nipokee chety...kwa kipindi ichi nnachosubil kupokea chety naomba msaada wenu kaka, dada, baba, mama zangu naomba kupata nafasi yoyote ya kazi ili niweze kujikim na kuendesha maisha yangu kwa yeyoteatakae weza kunisaidia kwa namna yoyote basi nitashukuru.