Wengi sana wanaishi vizuri, namjua pia mdada alikua anafanya kazi huko Omani aliweza kuwajengea nyumba nzuri wazazi wake, akasomesha wadogo zake, akajenga nyumba zake mbili na biashara juu,Nina mifano ya wanawake watatu( sio stori za kuambiwa) jirani zangu ktk nyakati tofauti wameenda Oman kila mmoja aliporudi alinunua kiwanja na kujenga nyumba na ada za watoto. Mmoja wao niliongea naye mwaka jana wakati wa Corona Safari zilizuiwa akitaka kurudi alikuwa ana sikitika sana kwani ana watoto wanasoma Private schools anawalipia ada kwa kazi hiyo hiyo.
Kule Mfanya kazi wa Ndani analipwa sawa na graduate wa Degree wa Bongo pengine hata kumzidi
Nikweli kabisa. Tena akiwa mwanamke mwenye akili zake sio hawa walioshindwa kila kitu kwao. Hao wanaoenda wanalalamika eti wanaonea ni wale walioshindikana hata hapa hapa nyimbani tzWengi sana wanaishi vizuri, namjua pia mdada alikua anafanya kazi huko Omani aliweza kuwajengea nyumba nzuri wazazi wake, akasomesha wadogo zake, akajenga nyumba zake mbili na biashara juu,
Mara ya mwisho nilisikia ameacha kazi anashughulika na biashara zake,
Oman rial 1 ni sawa na elfu 6 na chenchi chenchi za kibongo, mtu yupo ugenini pesa lazima asave,
Watanzania ni waoga sana kutoka nchini kwao yaani ni kutishana tishana tu huku wanalalamika maisha magumu.
Upo sahihi kabisa, wakifika huko wanapeleka ukahaba na wizi ugenini, mwisho ni kurushwa ghorofani tu,Nikweli kabisa. Tena akiwa mwanamke mwenye akili zake sio hawa walioshindwa kila kitu kwao. Hao wanaoenda wanalalamika eti wanaonea ni wale walioshindikana hata hapa hapa nyimbani tz
Mwambie aende South Africa kwa waafrika wenzake na wewe endelea tu kutafuna muhogo hapo chini ya mti huku ukisubiri buku toka kwa shemeji yako atakapo rudi kutoka kazini,usisahau na kusafisha banda la Kuku.Hope umeaga ndugu zako kabisa..waarabu ni mashetani..jiandae kwa yote.
#MaendeleoHayanaChama
Kazi zipo sema ww ni Me, ngumu kupata. Za ndani zipo nyingi ila ke ndo anapata, na kupitia wakala hapa nchini na kule.Habari,
Mimi naomba kama kuna mtu humu anaweza kupata nafasi za kazi nchi za uarabuni natafuta hizo nafasi
Kavue hicho kimin skirt then uje uombe mwongozoKwaiyo zipo kazi za uwarabuni kwa wanaume
ulishapata?Habari,
Mimi naomba kama kuna mtu humu anaweza kupata nafasi za kazi nchi za uarabuni natafuta hizo nafasi
We muache tu, watampopoa huo mtrako arudi huku akiwa anatembelea magoti.Na hio chura yako ni cv tosha
Ni kweli waoga maana unakuta mtu anaishi nyumbani kwa wazee wake na hajawai kutoka ata n'nje ya mkoa wake lakini unakuta yeye ndie mtaalam wa kutoa ushauri kwa wapambanaji wa kweli katika ili lifeWengi sana wanaishi vizuri, namjua pia mdada alikua anafanya kazi huko Omani aliweza kuwajengea nyumba nzuri wazazi wake, akasomesha wadogo zake, akajenga nyumba zake mbili na biashara juu,
Mara ya mwisho nilisikia ameacha kazi anashughulika na biashara zake,
Oman rial 1 ni sawa na elfu 6 na chenchi chenchi za kibongo, mtu yupo ugenini pesa lazima asave,
Watanzania ni waoga sana kutoka nchini kwao yaani ni kutishana tishana tu huku wanalalamika maisha magumu.
Ipo passport mkuu mawasiliano 0679579369uli
ulishapata?
una passport/hati ya kusafiria
watanzania sio waoga ila ni watu wanaopenda mtelezo,Wengi sana wanaishi vizuri, namjua pia mdada alikua anafanya kazi huko Omani aliweza kuwajengea nyumba nzuri wazazi wake, akasomesha wadogo zake, akajenga nyumba zake mbili na biashara juu,
Mara ya mwisho nilisikia ameacha kazi anashughulika na biashara zake,
Oman rial 1 ni sawa na elfu 6 na chenchi chenchi za kibongo, mtu yupo ugenini pesa lazima asave,
Watanzania ni waoga sana kutoka nchini kwao yaani ni kutishana tishana tu huku wanalalamika maisha magumu.
Niandikie message kwenye namba hii 0769084008Habari,
Mimi naomba kama kuna mtu humu anaweza kupata nafasi za kazi nchi za uarabuni natafuta hizo nafasi