Natafuta ajira Nina degree ya mechanical engineering

Natafuta ajira Nina degree ya mechanical engineering

Tutasaidiana kwa kadri ya uwezo ndugu.
Mkuu kama unaweza saidia vijana, naomba uwasaidie kiukweli kada ya uhandisi imekuwa ngumu sana kwa sasa mtu kupata ajira tofauti na namna watu wengi wanavyofikiri.

Kiukweli kiongozi nakuombea uendelee na moyo wakusaidia, hata kama unaemsaidia asipothamini mchango wako lakini wasaidie vijana Mwenyezimungu siku moja atalipa wema wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya changamkia fursa hapo
IMG_20200109_111250.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa utachoraje kama hujui theory? utachora nini kama hujui ku design?

Mkuu tofauti kati ya MHANDISI na FUNDI MCHUNDO (Technician) ni hii...

-Mhandisi anajua "why" fundimchundo anajua "how"!

-Mhandisi ana analytical skills na fundi mchundo yeye anajua kuunda!

Simaanishi MHANDISI asijue kuunda NO! Namaanisha huwezi kuwa MHANDISI kama hujui "theory behand" kama huna "analytical skills", kama hujui theory ("why") wewe sio MHANDISI wewe ni TECHNICIAN!

Mfano kwa mechanical engineer, ukiambiwa shaft iwe na 100mm Dia. basi uwe na sababu pamoja references za kwanini hiyo shaft imekua 100mm Dia. na sio 80mm Dia.!

Au kwa civil engineer anaposema hapa tuweke nondo za 10mm basi lazima awe na sababu na sio anakisia tu!

Na hii huwezi kujua kama huna "theory" kichwani!

Design (Theory na analytical skills) ndio inamtofautisha MHANDISI na FUNDI MCHUNDO!

Umeelewa sasa?
Ww GPA Ndogo haimanishi hujui why and Huna theory, na haimanishi mtu ambaye ana GPA kubwa knows why on design


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww GPA Ndogo haimanishi hujui why and Huna theory, na haimanishi mtu ambaye ana GPA kubwa knows why on design


Sent using Jamii Forums mobile app
Duh sijui hata kama unaelewa ulichoandika.

Lets say kwenye kozi ya engineering design mwanafunzi wa kwanza kapata A na mwanafunzi wa pili kapata C (tena baada ya kusapua).

Mpaka hapo, KWA AKILI YAKO, unadhani ni mwanafunzi gani unadhani atakua njema kwenye hiyo kozi?

NB: Jibu kwa kutumia LOGIC na sio USHABIKI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom