Natafuta ajira Nina degree ya mechanical engineering

Natafuta ajira Nina degree ya mechanical engineering

Daah kazi ya ndoto zangu mechanical I'm coming ngoja nmalzane na pcm nw
 
Design ipi unaizungumzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unadhani nazungumzia ipi?

Kuna msururu wa watu wengi wana GPA za above 3.5 ila kwenye module za kudesign wana makalai tu.

Unauliza design ipi nazungumzia alafu muda huo huo unasema "module za kudesign wana makarai", mbona hueleweki?

SWALI LANGU LINABAKI PALE PALE...

Ivi injinia anaweza ku design bila kujua theory?
 
Mkuu umesajiliwa na bodi (ERB) ? Kama umesajiliwa Basi tuma CV zako, michael@metatronlift.co.tz
0714434190

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama unaweza saidia vijana, naomba uwasaidie kiukweli kada ya uhandisi imekuwa ngumu sana kwa sasa mtu kupata ajira tofauti na namna watu wengi wanavyofikiri.

Kiukweli kiongozi nakuombea uendelee na moyo wakusaidia, hata kama unaemsaidia asipothamini mchango wako lakini wasaidie vijana Mwenyezimungu siku moja atalipa wema wako.
 
Msingi wa Design upo kwenye michoro. Unaweza kuwa na theory zako lakini kuchora ni kilaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa utachoraje kama hujui theory? utachora nini kama hujui ku design?

Mkuu tofauti kati ya MHANDISI na FUNDI MCHUNDO (Technician) ni hii...

-Mhandisi anajua "why" fundimchundo anajua "how"!

-Mhandisi ana analytical skills na fundi mchundo yeye anajua kuunda!

Simaanishi MHANDISI asijue kuunda NO! Namaanisha huwezi kuwa MHANDISI kama hujui "theory behand" kama huna "analytical skills", kama hujui theory ("why") wewe sio MHANDISI wewe ni TECHNICIAN!

Mfano kwa mechanical engineer, ukiambiwa shaft iwe na 100mm Dia. basi uwe na sababu pamoja references za kwanini hiyo shaft imekua 100mm Dia. na sio 80mm Dia.!

Au kwa civil engineer anaposema hapa tuweke nondo za 10mm basi lazima awe na sababu na sio anakisia tu!

Na hii huwezi kujua kama huna "theory" kichwani!

Design (Theory na analytical skills) ndio inamtofautisha MHANDISI na FUNDI MCHUNDO!

Umeelewa sasa?
 
Hizo calculation za vitu kama shear stress na bending moment watu wengi haziwapi shida. Lakini mtu huyohuyo mwambie akuchoree mchoro wake wa kitu anachokidesign ndio utajua ninazungumza nini?
Sasa utachoraje kama hujui theory? utachora nini kama hujui ku design?

Mkuu tofauti kati ya MHANDISI na FUNDI MCHUNDO (Technician) ni hii...

-Mhandisi anajua "why" fundimchundo anajua "how"!

-Mhandisi ana analytical skills na fundi mchundo yeye anajua kuunda!

Simaanishi MHANDISI asijue kuunda NO! Namaanisha huwezi kuwa MHANDISI kama hujui "theory behand" kama huna "analytical skills", kama hujui theory ("why") wewe sio MHANDISI wewe ni TECHNICIAN!

Mfano kwa mechanical engineer, ukiambiwa shaft iwe na 100mm Dia. basi uwe na sababu pamoja references za kwanini hiyo shaft imekua 100mm Dia. na sio 80mm Dia.!

Au kwa civil engineer anaposema hapa tuweke nondo za 10mm basi lazima awe na sababu na sio anakisia tu!

Na hii huwezi kujua kama huna "theory" kichwani!

Design (Theory na analytical skills) ndio inamtofautisha MHANDISI na FUNDI MCHUNDO!

Umeelewa sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-Mhandisi anajua "why" fundimchundo anajua "how"!
wachache sana watakuelewa hapa,

i hate mtu akijua practical bila theory, theory ni msingi wa practical nzuri

uyu mwenye ( practical ) ukimuuliza kwanini hii inafanywa ivi, anakujibu mimi sijui,

mf: kwanini hapa unatumia waya wa size flani, anakwambia sijui hua ndio tunafanya ivyo !

ile 'design' iki twistiwa kidogo tu tayari ameshatoka mstarini, cuz hana msingi wa Theory

mwenye Theory ( bila practical ) rahisi sana ku catch up na 'praktikal' ,

a. atajua nini anafanya,

b. atafanya kwa vipimo sahihi

c. na nini afanye (nini abadili) ikitokea design ipo twisted ( versatility )
 
wachache sana watakuelewa hapa,

i hate mtu akijua practical bila theory, theory ni msingi wa practical nzuri

uyu mwenye ( practical ) ukimuuliza kwanini hii inafanywa ivi, anakujibu mimi sijui,

mf: kwanini hapa unatumia waya wa size flani, anakwambia sijui hua ndio tunafanya ivyo !

ile 'design' iki twistiwa kidogo tu tayari ameshatoka mstarini, cuz hana msingi wa Theory

mwenye Theory ( bila practical ) rahisi sana ku catch up na 'praktikal' ,

a. atajua nini anafanya,

b. atafanya kwa vipimo sahihi

c. na nini afanye (nini abadili) ikitokea design ipo twisted ( versatility )
Vipi mtu akijua theory bila practical?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa utachoraje kama hujui theory? utachora nini kama hujui ku design?

Mkuu tofauti kati ya MHANDISI na FUNDI MCHUNDO (Technician) ni hii...

-Mhandisi anajua "why" fundimchundo anajua "how"!

-Mhandisi ana analytical skills na fundi mchundo yeye anajua kuunda!

Simaanishi MHANDISI asijue kuunda NO! Namaanisha huwezi kuwa MHANDISI kama hujui "theory behand" kama huna "analytical skills", kama hujui theory ("why") wewe sio MHANDISI wewe ni TECHNICIAN!

Mfano kwa mechanical engineer, ukiambiwa shaft iwe na 100mm Dia. basi uwe na sababu pamoja references za kwanini hiyo shaft imekua 100mm Dia. na sio 80mm Dia.!

Au kwa civil engineer anaposema hapa tuweke nondo za 10mm basi lazima awe na sababu na sio anakisia tu!

Na hii huwezi kujua kama huna "theory" kichwani!

Design (Theory na analytical skills) ndio inamtofautisha MHANDISI na FUNDI MCHUNDO!

Umeelewa sasa?
Fundi Mchundo sio Technician huyo ni Electrician mwenye VETA unaposema Technician ni Fundi Sanifu Diploma na level yake na mhandisi hawajaachana kiivo katika designing and analysis waajiri wengi huwapenda zaidi mafundi sanifu (Technician) Kuliko wahandisi na ukikuta mhandisi kapitia ufundi sanifu basi anakuwa superbly kwa nchi yetu saivi workforce ndio inahitajika zaidi
 
mechanical engineering kama hauna GPA kuanzia ya 4,nenda kwenye viwanda vya wahindi,kama inaanzia 4 tembelea migodini hasa shinyanga utapata mshahara Wa kufuru

No research, no right to speak


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom