Ushauri tu kama hutajali wasiliana na jamaa yule anaitwa Yeriko Nyerere anaweza kukupa msaada naamini mshkaj ana conection kubwa ya masuala hayo.Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26 natafuta kazi Nina elimu ya mechanical engineering level ya degree
Mbona hujasema unapatikana mkoa gani?Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26 natafuta kazi Nina elimu ya mechanical engineering level ya degree
Yule jasusi nguli wa CDMYericko nyerere ndo yupi mkuu sijamfahamu bado
Dar es salaam uko upande gani au maeneo ya wapi ili nikushauri kituNipo dar es salaam mkuu
Hadi Sasa hivi umepeleka cv sehem ngapi?Mbagala mkuu
Usimvunje moyo mwenzako.mechanical engineering kama hauna GPA kuanzia ya 4,nenda kwenye viwanda vya wahindi,kama inaanzia 4 tembelea migodini hasa shinyanga utapata mshahara Wa kufuru
Ebu acha kundanganya kijana aiseee.....mechanical engineering kama hauna GPA kuanzia ya 4,nenda kwenye viwanda vya wahindi,kama inaanzia 4 tembelea migodini hasa shinyanga utapata mshahara Wa kufuru
Naunga mkono hojaUsimvunje moyo mwenzako.
GPA na kazi ni vitu viwili tofauti.
GPA kubwa umuhim wake labda Kama unataka ukawe mwalimu.
Kwenye manufacturing industries wanachohitaji ni practical works na wala hawataki theories zako ulizomeza kwenye vitini ili upate GPA kubwa.
Tumeunda group letu la WhatsApp kwa wanaotafuta kazi,nakuwekea link hapa chini ujiunge.Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26 natafuta kazi Nina elimu ya mechanical engineering level ya degree
Napatikana dar es salaam kwa sasa
0656 548919
Acha kudanganya wenzio.mechanical engineering kama hauna GPA kuanzia ya 4,nenda kwenye viwanda vya wahindi,kama inaanzia 4 tembelea migodini hasa shinyanga utapata mshahara Wa kufuru
Mbona me bado nipo home ....mechanical engineering kama hauna GPA kuanzia ya 4,nenda kwenye viwanda vya wahindi,kama inaanzia 4 tembelea migodini hasa shinyanga utapata mshahara Wa kufuru