Habari wadau,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, naishi Dar es salam, Wazo, Salasala.
Ninashahada ya ualimu wa masomo ya Geography na English, pia naweza kutumia compyuta japo sio sana.
Natafuta kazi itakayoniwezesha kujikimu kimaisha. Sio lazima iwe ya kitaaluma, niko tayari kujifunza.
Hata kama kazi ni ya kiwandani kama unaweza kuniunganisha, nitashukuru sana.
Kwa mawasiliano: 0689336045
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, naishi Dar es salam, Wazo, Salasala.
Ninashahada ya ualimu wa masomo ya Geography na English, pia naweza kutumia compyuta japo sio sana.
Natafuta kazi itakayoniwezesha kujikimu kimaisha. Sio lazima iwe ya kitaaluma, niko tayari kujifunza.
Hata kama kazi ni ya kiwandani kama unaweza kuniunganisha, nitashukuru sana.
Kwa mawasiliano: 0689336045