Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Wakuu mimi ni kijana wa miaka 28.
Nimehitimu Bs in Procurement and Supply chain Management SAUT mwaka 2014.
Nimejiajiri mwenyewe mpaka sasa.
Namiliki mashamba na mabwawa ya samaki.
Nimeajiri vijana 8 katika mashamba yangu.
Natafta kazi ambayo inaweza nikeep buzy at least ya kufanya kwa masaa 5 kwa siku.
Malipo kwangu sio shida. Mi nahitaji kitu chakunikeep buzy katika extra hours zangu.
Kazi nazoweza fanya.
1.Data entry ( niko vizuri kwa IT kuzidi hata wenye degeree za IT)
2.Website designing.
3. Marketing
4. Procurement consultant
5. Farm management and supervision.
6. Practical computer Training.
Kondition. Sehemu ya kazi iwe mwanza tu. Kazi isinichukue zaidi ya masaa matano kwa siku.
Nimehitimu Bs in Procurement and Supply chain Management SAUT mwaka 2014.
Nimejiajiri mwenyewe mpaka sasa.
Namiliki mashamba na mabwawa ya samaki.
Nimeajiri vijana 8 katika mashamba yangu.
Natafta kazi ambayo inaweza nikeep buzy at least ya kufanya kwa masaa 5 kwa siku.
Malipo kwangu sio shida. Mi nahitaji kitu chakunikeep buzy katika extra hours zangu.
Kazi nazoweza fanya.
1.Data entry ( niko vizuri kwa IT kuzidi hata wenye degeree za IT)
2.Website designing.
3. Marketing
4. Procurement consultant
5. Farm management and supervision.
6. Practical computer Training.
Kondition. Sehemu ya kazi iwe mwanza tu. Kazi isinichukue zaidi ya masaa matano kwa siku.