nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,802
- 4,451
Fikiria yaliyokuwa yanawatokea tangu 2016-2020.
1. Viongozi kutemwa
2. Kuvunjwa visikigino
3. Kupigwa risasi
4. Kuwabambikia kesi
5. Mikutano yao kuvamiwa na police ccm
6. Kupotezwa
Sasa najiuliza watu wanaodai Chadema haina ofisi. Ndio haina.
Je hamuoni kuwa kutokuwa na ofisi Ndio likuwa salama yao.
Mimi naamini Chadema wangekurupuka kujenga jengo.
Kwanza
1. Lingelipuliwa au kuchomwa moto kanisa maana yule alikuwa Setani kabisa
2. Hilo wangeenda kuwawekea milipuko halafu viongozi wote wangefungwa
3. Wangewachomea humo humo ofisini.
Hongereni Chadema endeleeni kukijenga Chama ndani ya mioyo ya watu.
1. Viongozi kutemwa
2. Kuvunjwa visikigino
3. Kupigwa risasi
4. Kuwabambikia kesi
5. Mikutano yao kuvamiwa na police ccm
6. Kupotezwa
Sasa najiuliza watu wanaodai Chadema haina ofisi. Ndio haina.
Je hamuoni kuwa kutokuwa na ofisi Ndio likuwa salama yao.
Mimi naamini Chadema wangekurupuka kujenga jengo.
Kwanza
1. Lingelipuliwa au kuchomwa moto kanisa maana yule alikuwa Setani kabisa
2. Hilo wangeenda kuwawekea milipuko halafu viongozi wote wangefungwa
3. Wangewachomea humo humo ofisini.
Hongereni Chadema endeleeni kukijenga Chama ndani ya mioyo ya watu.


