Natafakari na kutambua CHADEMA imejaa vichwa

Natafakari na kutambua CHADEMA imejaa vichwa

Dr. Slaa CDM= balozi
Dr. Mashinj CDM = DC
Nassary CDM = DC
Mwita CDM = Mbunge
Na wengine weeeeeng kisha unajifunga kibwaya kama vile hujui
Eh Msikieni huyu mpuuzi, huyo nassary, slaa na mwita si waliondoka huko ndio wakapata hvy vyeo.? Acha kujitia kidole afu unanusa.
 
Eh Msikieni huyu mpuuzi, huyo nassary, slaa na mwita si waliondoka huko ndio wakapata hvy vyeo.? Acha kujitia kidole afu unanusa.
Walikuwa groomed wapi? Ili uwe kiongozi lazima utengenezwe au uzaliwe au vyote! Nimekutajia hao watu ili nikuoneshe ni kwanna gani hicho chama kimeweza kutengeneza viongozi wake na wakachukuliwa na ccm kwenda kupewa vyeo.
Kama una akili ndogo hutanielewa
Nikuulize kila mtu anayejiondoa kwenye chama lazima apewe nafac ccm?
Mbona haijafanyika kwa waliondoka NCCR TLP, CUF nk?
Kama una akili ndogo hutanielewa
 
Fikiria yaliyokuwa yanawatokea tangu 2016-2020.
1. Viongozi kutemwa
2. Kuvunjwa visikigino
3. Kupigwa risasi
4. Kuwabambikia kesi
5. Mikutano yao kuvamiwa na police ccm
6. Kupotezwa

Sasa najiuliza watu wanaodai Chadema haina ofisi. Ndio haina.

Je hamuoni kuwa kutokuwa na ofisi Ndio likuwa salama yao.

Mimi naamini Chadema wangekurupuka kujenga jengo.

Kwanza
1. Lingelipuliwa au kuchomwa moto kanisa maana yule alikuwa Setani kabisa

2. Hilo wangeenda kuwawekea milipuko halafu viongozi wote wangefungwa

3. Wangewachomea humo humo ofisini.

Hongereni Chadema endeleeni kukijenga Chama ndani ya mioyo ya watu.
Chadema ni chama imara sana kimepitia magumu mengi na wote waliotaka kuuwa Chadema wamekufa wao!
 
Pumbavu zenu chadema, Kwan chadema imeanzishwa 2015.? Mbona miaka ya nyuma hamkujenga jengo au mlikuwa na kisingizio gani.?
Tangu unyimwe namba umekua mkali kweli kwa chadema
 
Walikuwa groomed wapi? Ili uwe kiongozi lazima utengenezwe au uzaliwe au vyote! Nimekutajia hao watu ili nikuoneshe ni kwanna gani hicho chama kimeweza kutengeneza viongozi wake na wakachukuliwa na ccm kwenda kupewa vyeo.
Kama una akili ndogo hutanielewa
Nikuulize kila mtu anayejiondoa kwenye chama lazima apewe nafac ccm?
Mbona haijafanyika kwa waliondoka NCCR TLP, CUF nk?
Kama una akili ndogo hutanielewa
Kwahy na mm niseme mlimnunua lowassa ili aje agombee urais mana chadema wote wajinga hakuna wa kugombea urais.?
 
Mpaka sasa Mbowe ndiyo kaka wa taifa, Dr. SSH ndiye mama wa taifa na Fatma Karume ndiye lishangazi la taifa bila kusahau TAL ndiye mwanasheria wa taifa. Kama unabisha andamana kama babu yako Odinga.

Hizo nyazifa wapeni kwenye ukoo wenu wa chadema au twita. Kuwahusisha na taifa ukome.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom