Hakuna kitu kama hicho hata Iran watalituliza tu litaisha na maisha itaendeleaNatabiri vurugu za kugoma kuvaa hijabu litasambaa nchi zote za kiislamu viongozi wataondolewa madarakani itakuwa Arab Springs Part two
Nchi zote zinazoongozwa law sharia za kiislamu zijiandae viongozi wake kufungashwa virago
Maandamano ya Iran yakifanikiwa kumwondoa raisi basi hiyo Hali ya KUKATAA MILA za hovyo zitaendelea kwenye nchi nyingine za Arabs....
Najua maandamano haya lazima yaondoke na viongozi wakubwa Acha tusubiri tuone Huko mbele itakuaje
Sidhani kama wakubwa wapo busy Sana Hadi wanashindwa kufanya fitina kumbuka haya maandamano yamepelekea Hadi wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali kugoma kuingia madarasani hii ni taa nyekundu hasa Kwa wasomi kuanza kusapoti maandamano.Haya maandamano hayawezi kufanikiwa..
Sababu wakubwa wa dunia wapo busy wanataka kumuondoa Putin kwa kumtumia Ukraine..
Iran ataponea hapo.. ila ingetokea hakuna vita ya ukraine.. serikali ya Iran ilikuwa inafanyiwa alichofanyiwa Ghadafi , Saddam Hussein na wababe wengineo wa kiislam
Kwa Iran sio rahisi, Ayatollah yuko radhi aue hata watu elfu kumi lakini sio kuachia kiti cha uongoziMaandamano ya Iran yakifanikiwa kumwondoa raisi basi hiyo Hali ya KUKATAA MILA za hovyo zitaendelea kwenye nchi nyingine za Arabs....
Najua maandamano haya lazima yaondoke na viongozi wakubwa Acha tusubiri tuone Huko mbele itakuaje
Mola yupi? Acha kutetea upuuzi wewe.Kuvaa hijabu iyo ni amri aliyowapa mola wao wanawake wa kiislamu siyo ombi ni lazima wewe unayeona kam ni mila za ovyo baki ivyo ivyo
Ayatollah ndio cheo gani mkuu?Sio rahisi hata kidogo,ayatolah yupo tayati aue hata nusu ya raia ili abaki mamlakani.
Vurugu za Iran hazitaudhuru Uislam. Uislam sahihi kama alivyouacha Mtume(Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) kwa Swahaba zake (Radhiya Allahu 'Anhum) wakaufuata utaendelea kuwepo na wanaoufuata wataendelea kuwepo, na Allah atawaongoza na kupitia wao Allah atawaongoza wengine, na wataendelea kuwashinda wanaowakhalifu na kuwapinga mpaka itakapokuja Amri yake Allah.Natabiri vurugu za kugoma kuvaa hijabu zitasambaa nchi zote za kiislamu, viongozi wataondolewa madarakani, itakuwa Arab Springs Part two.
Nchi zote zinazoongozwa sharia law za kiislamu zijiandae viongozi wake kufungashwa virago.
Huu ndiyo ukweli infact kati ya sasa mpaka mwishoni mwa mwaka ujao vingozi wengi sana watatoka madarakani dunia nzima.Natabiri vurugu za kugoma kuvaa hijabu zitasambaa nchi zote za kiislamu, viongozi wataondolewa madarakani, itakuwa Arab Springs Part two.
Nchi zote zinazoongozwa sharia law za kiislamu zijiandae viongozi wake kufungashwa virago.
Kuvaa hijabu iyo ni amri aliyowapa mola wao wanawake wa kiislamu siyo ombi ni lazima wewe unayeona kam ni mila za ovyo baki ivyo ivyo
Umejaribu fatilia haya maandamano ukubwa wake? Ayatollah mwenye amekubali kuwa maandamano yataongezeka zaidi hivyo vikosi vya usalama vijipange haswaaHakuna kitu kama hicho hata Iran watalituliza tu litaisha na maisha itaendelea
Nmekuwa nikifuatilia watayacrash na hayawezi kusambaa nchi nyingine. Ila ni mtazamo tu maana muda ndio utaamuaUmejaribu fatilia haya maandamano ukubwa wake? Ayatollah mwenye amekubali kuwa maandamano yataongezeka zaidi hivyo vikosi vya usalama vijipange haswaa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app