Natabiri: Vurugu kubwa kutokea Dodoma Julai 23 "Amini usiamini"

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,905
4,054
kuna watu wako kama Tomaso, they don believe until they see. sasa kwa uchunguzi wangu binafsi, mwigulu alikuwa uvccm na sasa ndio waziri wa polisi na Mara nyingi polisi husema tumetekeleza amri toka juu.

Sasa kwa mtizamo wangu ni wazi Bavicha lazima watakwenda Dodoma is not a question anymore they will b there. Na polisi wakiendelea na kutosikiliza kelele za wananchi juu ya wao kutenda haki kwa watu wote bila kujali itikadi zao basi tabiri vurugu kubwa.
Naturally uvccm na Bavicha are rival so kwa vovote vile wakikutsna don't expect kuchekeana.

so busara iko wazi kabisa kwa jeshi la polisi kuavoid this disaster before it happens. haitakua busara mtoe tangazo wenyewe kisha mlivunje wenyewe.

nakumbuka mivutano ya kisiasa ilizaa hatari tupu
1) kifo cha mwangosi
2)vifo kule morogoro
3) vifo kule arusha
4)kifo cha mawazo

we don't learn anything?
 
Hivi unaanzeji kuweka ugoko dhidi ya Chuma?

Haihitaji degree kutambua hili baada ya kusababisha vifo vya mliowaita makamanda Kadhaa Arusha na kuwatelekeza familia za wafiwa sasa mnaenda Dodoma kujaribu kufanya yale yale yasiyokuwa na tija.
 
Ť
IMG_1935.jpeg

vijana wa Mara wanazidi kujitokeza kujiandikisha

swissme
 
freemason hupenda sana kutoa kafara watu kupata mafanikio fulani yawe ya kisiasa nk kwa ushirikina.Wengine hujipa majina yanayoonyesha wazi kuwa wao ni Freemason.Jina freemason mtu aweza lifupisha ilisomeke FREEMAN.Kuna mwingine namjua anaitwa FREEMAN ...........

BAVICHA kuna ma freemasoni wanataka kuwatoa kafara nani atatolewa kafara kwa njia ipi sijui.Lakini ushauri wangu usiyoyajua kaa nayo mbali

Angalia ile alama ya vidole viwili inayotumiwa na CHADEMA

V IS FOR FREEMASONRY/ILLUMINATI SATANIC LUCIFERIAN SUN GOD WORSHIP


V%20is%20for%20freemason%20pic%2060.jpg

Proverbs 6:12 A naughty person, a wicked man, walketh with a froward mouth.
Proverbs 6:13 He winketh with his eyes, he speaketh with his feet, he teacheth with his fingers;
Proverbs 6:14 Frowardness is in his heart, he deviseth mischief continually; he soweth discord.
These People are the Naughty = Illuminati Pronounced Ilumin Naughty
 
Kama ccm wakitii sheria na kusitisha hiyo shughuli yao basi hakuna kitakachoharibika!! Tatizo ni pale watakapoleta ubishani kwa polisi na wasaidizi wao waliojitolea (makamanda wa cdm) kulisimamia agizo la mkuu wa kaya!!
 
kuna watu wako kama Tomaso, they don believe until they see. sasa kwa uchunguzi wangu binafsi, mwigulu alikuwa uvccm na sasa ndio waziri wa polisi na Mara nyingi polisi husema tumetekeleza amri toka juu.

Sasa kwa mtizamo wangu ni wazi Bavicha lazima watakwenda Dodoma is not a question anymore they will b there. Na polisi wakiendelea na kutosikiliza kelele za wananchi juu ya wao kutenda haki kwa watu wote bila kujali itikadi zao basi tabiri vurugu kubwa.
Naturally uvccm na Bavicha are rival so kwa vovote vile wakikutsna don't expect kuchekeana.

so busara iko wazi kabisa kwa jeshi la polisi kuavoid this disaster before it happens. haitakua busara mtoe tangazo wenyewe kisha mlivunje wenyewe.

nakumbuka mivutano ya kisiasa ilizaa hatari tupu
1) kifo cha mwangosi
2)vifo kule morogoro
3) vifo kule arusha
4)kifo cha mawazo

we don't learn anything?

At least umeshawasaidia Police kumjua " suspect " wao wa kuanza nae kama fujo ikitokea kweli " Dom ".
 
Hivi katika hili tatizo ni nani? Bavicha wanaenda kulisaidia jeshi la polisi kutimiza wajibu wao na UVCCM wanaenda kuwalinda wale wanaovunja agizo nani mwema hapo?
Itashangaza kama polisi watawageuka wanao wasaidia
 
freemason hupenda sana kutoa kafara watu kupata mafanikio fulani yawe ya kisiasa nk kwa ushirikina.Wengine hujipa majina yananoonyesha wazi kuwa wao ni Freemason.Jina freemason mtu aweza lifupisha ilisomeke FREEMAN.Kuna mwingine namjua anaitwa FREEMAN ...........

BAVICHA kuna ma freemasoni wanataka kuwatoa kafara nani atatolewa kafara kwa njia ipi sijui.Lakini ushauri wangu usiyoyajua kaa nayo mbali

Angalia ile alama ya vidole viwili inayotumiwa na CHADEMA

V IS FOR FREEMASONRY/ILLUMINATI SATANIC LUCIFERIAN SUN GOD WORSHIP


V%20is%20for%20freemason%20pic%2060.jpg

Proverbs 6:12 A naughty person, a wicked man, walketh with a froward mouth.
Proverbs 6:13 He winketh with his eyes, he speaketh with his feet, he teacheth with his fingers;
Proverbs 6:14 Frowardness is in his heart, he deviseth mischief continually; he soweth discord.
These People are the Naughty = Illuminati Pronounced Ilumin Naughty
Huna hoja ndugu...
Wivu umekujaa na utabaki hivyo hivyo maskini.
Kwa kuwa ulishajazwa upupu kichwani kuwa anayefanikiwa ni freemanson unakuja kushoboka humu!!
Huyu unayemwita Freemason ndio huyo unayemsujudia, umesahau kuwa hata hako kampakato unakokatumia kutoa povu jf unaimba ni zao la Freemason watoa kafara??
Kuna jambo gani kwa akili yako ilivyo linaweza kutokea bila kuhusisha freemason wewe; jinsi ulivyo hata ukimuona jirani yako kanunua baiskeli utasema katoa kafara!!
Shame on you, poor mind..idiot!!!
 
Angalia kwenye mfano kwenye hiyo picha Mamba ni serikali na huyo mtu ni BAVICHA hivi vurugu ikitokea hapo mshindi atakuwa nani? sema mwenyewe.

11078832_684626078313957_720476349_n.jpg
 
Mpango wa Mungu ni upi?
Mpango wa MUNGU ni UPENDO, AMANI na FURAHA . Hata siasa ni vema tufanye kwa upendo na amani itakayoleta furaha. Tusiwe na chuki, fujo na tusilete huzuni. Haya ni vema kwapande zote yaani vyama vya siasa, serekali, taasisi zote na sisi wananchi wenyewe. ROHO WA MUNGU ATUONGOZE. Amen.
 
freemason hupenda sana kutoa kafara watu kupata mafanikio fulani yawe ya kisiasa nk kwa ushirikina.Wengine hujipa majina yananoonyesha wazi kuwa wao ni Freemason.Jina freemason mtu aweza lifupisha ilisomeke FREEMAN.Kuna mwingine namjua anaitwa FREEMAN ...........

BAVICHA kuna ma freemasoni wanataka kuwatoa kafara nani atatolewa kafara kwa njia ipi sijui.Lakini ushauri wangu usiyoyajua kaa nayo mbali

Angalia ile alama ya vidole viwili inayotumiwa na CHADEMA

V IS FOR FREEMASONRY/ILLUMINATI SATANIC LUCIFERIAN SUN GOD WORSHIP


V%20is%20for%20freemason%20pic%2060.jpg

Proverbs 6:12 A naughty person, a wicked man, walketh with a froward mouth.
Proverbs 6:13 He winketh with his eyes, he speaketh with his feet, he teacheth with his fingers;
Proverbs 6:14 Frowardness is in his heart, he deviseth mischief continually; he soweth discord.
These People are the Naughty = Illuminati Pronounced Ilumin Naughty
Uwe unatumia japo akili kidogo uliyobakiziwa
 
Back
Top Bottom