Second July
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 234
- 323
Wiki hii serikali ya awamu hii ilipata pigo kubwa baada ya Tundu Lissu kuibua sakata la kuzuiwa kwa ndege yetu huko Canada na wadeni wetu.
Hakika kuvuja kwa taatifa hii na kupelekwa moja kwa moja kwa wananchi tena kupitia kwa mbaya wa serikali (TL) imewanyong'onyesha sana chama dola na serikali. Suala hili limezua taharuki ndani ya chama na serikali na kuona kama wamevuliwa nguo baada ya kulifanya kuwa siri na baadae kufichuka. Hii imepelekea majibu tofuti tofaut toka ndani ya serikali, chama na wasomi wanaovizia kuteuluwa na serikali ktk nyazifa mbalimbali.
Serikali sikivu na ya wanyonge inayowahurumia masikini (kama inavyojinasibu) haiwez kuvumilia kuvuliwa nguo kiasi hiki. Ss hiv inafanya jitihada za hali ya juu kuwapata wote waliovujisha habari hii na sasa imeshaweka mikakati ya kuhakikisha jambo la namna hii halitaweza kutokea tena. Mkatakati wa kwanza ni ule utakaotangazwa hivi karibuni wa kupiga marufuku press conference yeyote ile mpaka upate kibali toka polisi (rpc) au kwa kwa vibaraka wakuu wa serikali (wakuu wa ilaya - DC). Ikumbukwe wanasiasa wa upinzani wameshabanwa kuongea kuptia Bungeni ( no bunge live na maagizo kwa Spika na Naibu wake kuwabana wapinzani kuzungumza) na kuzuia mikutano ya hadhara. Hii threat ya Press Conference walikuwa hawajaiona mpk pale TL alipowavuruga wikii hii.
Sasa muda mwafaka wa serikali ya wanyonge na watu masikin kuzuia Press cobference yeyote mpk kibali umewadia. Stay Tuned. Awamu hii tutayaona mengi sana ambayo tulikuwa hata hatuyafikirii kuyokea nchini kwetu. Na awamu hii itakuja kuwa awamu mbaya zaidi iliyowahi kutokea TZ kisiasa na kiuchumi.
Hakika kuvuja kwa taatifa hii na kupelekwa moja kwa moja kwa wananchi tena kupitia kwa mbaya wa serikali (TL) imewanyong'onyesha sana chama dola na serikali. Suala hili limezua taharuki ndani ya chama na serikali na kuona kama wamevuliwa nguo baada ya kulifanya kuwa siri na baadae kufichuka. Hii imepelekea majibu tofuti tofaut toka ndani ya serikali, chama na wasomi wanaovizia kuteuluwa na serikali ktk nyazifa mbalimbali.
Serikali sikivu na ya wanyonge inayowahurumia masikini (kama inavyojinasibu) haiwez kuvumilia kuvuliwa nguo kiasi hiki. Ss hiv inafanya jitihada za hali ya juu kuwapata wote waliovujisha habari hii na sasa imeshaweka mikakati ya kuhakikisha jambo la namna hii halitaweza kutokea tena. Mkatakati wa kwanza ni ule utakaotangazwa hivi karibuni wa kupiga marufuku press conference yeyote ile mpaka upate kibali toka polisi (rpc) au kwa kwa vibaraka wakuu wa serikali (wakuu wa ilaya - DC). Ikumbukwe wanasiasa wa upinzani wameshabanwa kuongea kuptia Bungeni ( no bunge live na maagizo kwa Spika na Naibu wake kuwabana wapinzani kuzungumza) na kuzuia mikutano ya hadhara. Hii threat ya Press Conference walikuwa hawajaiona mpk pale TL alipowavuruga wikii hii.
Sasa muda mwafaka wa serikali ya wanyonge na watu masikin kuzuia Press cobference yeyote mpk kibali umewadia. Stay Tuned. Awamu hii tutayaona mengi sana ambayo tulikuwa hata hatuyafikirii kuyokea nchini kwetu. Na awamu hii itakuja kuwa awamu mbaya zaidi iliyowahi kutokea TZ kisiasa na kiuchumi.