Nilifanyiwa MRI pale besta 2017 nikaambiwa nina vimisuli vingi kwenye kiuno
Tatizo lilikuwa linanisumbua mnooo kwa miaka mingi sana
Dawa nilipewa "NEUROTON"
Nadhani tiba yake sio kuondoa maumivu tu bali kujua chanzo cha maumivu hayo na kukishughukia.
Chanzo kikishughulikiwa na tatizo litaondoka mara moja na halitarudi tena. Lakini dawa za maumivi zinaondoa tu maumivu na tatizo linabakia pale pale. Kwa hiyo utakua mtu wa dawa kila mara na mwishoni litakuwa sugu.
Nakushauri tafuta chanzo chake.
Wasiliana na dkt wa viungo kwa ushauri. 0699254400
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.