THE ONETATUS
Member
- Oct 2, 2012
- 29
- 9
Tumbo linanisumbua sana nilijarb kwenda hosp nikachukua vipimo nikahambiwa choo ndio kinasumbua nikapewa dawa hila dawa haijanisaidia chochote pia naweza nisipate aja kubwa kwa muda wa siku 4 hadi 5 na nikila muda kidogo njaa nisaidieni jamani