ngome1838
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 2,029
- 2,471
Jamani huu ni mwezi wa pili nafuatilia cheti cha kuzaliwa kwa ajili ya mtoto wangu ambaye anataka kuomba mkopo kwa ajili ya elimu ya juu.
Nimeshafuatilia mpaka nimechoka, wamedai mara nikalete kiapo, imenitoka hela kwani ilinibidi niende kwa wakili binafsi kwakuwa Mahakama zilikuwa zimefungwa. Kila nikienda wanadai hawaoni faili langu.
Nisaidieni, nifanyeje au huko kwenu hivi vyeti vya kuzaliwa vinapatikanaje?
Nimeshafuatilia mpaka nimechoka, wamedai mara nikalete kiapo, imenitoka hela kwani ilinibidi niende kwa wakili binafsi kwakuwa Mahakama zilikuwa zimefungwa. Kila nikienda wanadai hawaoni faili langu.
Nisaidieni, nifanyeje au huko kwenu hivi vyeti vya kuzaliwa vinapatikanaje?