ALEX PETER
Senior Member
- Jan 17, 2012
- 117
- 23
naomba utathmin na unpe jib kip bora kati ya ukabila unaoungangania na hoja na mikakat ambayo umeshndwa kuitaja badala yake umengangania propaganda ambazo hazwez kumxaidia mtanzania,kp bora ufsad wa ccm au mikakat na sera za chadema